Man United kufanya tena mabadiliko MKUU wa masuala ya mpira wa miguu wa Manchester United, Dave Brailsford anatarajiwa kujiondoa katika nafasi hiyo ikiwa ni sehemu ya mabadiliko makubwa yanayofanywa na tajiri wa timu hiyo Sir...
Ishu la Wirtz, Liverpool yakubali yaishe MABOSI wa Liverpool wanajiandaa kulipa Pauni 126 milioni ili kumnasa kiungo wa Bayer Leverkusen Florian Wirtz haraka iwezekanavyo.
Kombe la dunia la klabu, Marekani kumenoga IKIWA zimebakia siku tisa kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la klabu itakayopigwa kule Marekani, maandalizi ndani ya nchi yanaripotiwa kuwa yameshamilika na sasa kinachosubiriwa ni...
PRIME Hizi hapa njia za Simba kumnasa Fei Toto MASHABIKI wa Simba wanasikilizia dili la kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' kama litatiki au la, lakini presha yao ni suala la kuwepo kwa kipengele cha mkataba kati ya klabu hiyo ya...
Aston Villa yatia mguu kwa Sancho ASTON Villa imeingia katika harakati za kutaka kumsajili winga wa Manchester United na England, Jadon Sancho, 25, katika dirisha hili.
Panga kubwa lapita Arsenal ARSENAL imetoa orodha ya wachezaji wanaobaki na wanaoondoka ambayo inaonyesha kuna panga kubwa limewapitia mastaa 17.
DABI YA KARIAKOO: Hoja mpya za wazee Yanga KAMA unadhani Yanga wanatania juu ya tishio lao la kuigomea Dabi ya Kariakoo iliyopangwa Juni 15 basi utakuwa umekosea, baada ya wanachama wa matawi wakiongozwa na wazee wa klabu hiyo kutoa...
Ronaldo rekodi zamiminika tu, sikia hii JANA Cristiano Ronaldo aliiongoza Ureno kushinda mechi ya nusu fainali ya Nations League dhidi ya Ujerumani na kumwezesha kuweka rekodi mbalimbali.
Inzaghi atua rasmi Al Hilal, akiitosa Inter Milan Simone Inzaghi ametangazwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Al-Hilal ya Saudi Arabia, siku moja baada ya kuondoka Inter Milan ya Italia ikitosa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya mbele ya PSG ya Ufaransa.
Wakongwe waliotisha klabu bingwa ya Dunia SIKU zinazidi kukatika kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu linalotarajiwa kupigwa huko Marekani, Juni 15 mwaka huu.