Gary Neville ashangaa ujuzi wa Amorim GARY Neville amesema Ruben Amorim amechezesha kikosi cha ajabu sana cha Manchester United kuwahi kukiona wakati miamba hiyo ya Old Trafford ilipopambana kushinda 1-0 dhidi ya Newcastle United...
AFCON 2025: Gemu ya wakubwa! MSIMAMO wa Kundi F kwenye mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) unasoma, Ivory Coast, ambao ni mabingwa watetezi wanashika namba moja, pointi tatu baada ya mechi moja, wakifuatiwa na...
Ruben Amorim: Kobbie Mainoo anatakiwa kupambana KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amemtaka kiungo wa timu hiyo Kobbie Mainoo kupigania nafasi yake ndani ya Manchester United kama walivyofanya magwiji wa timu hiyo, Cristiano Ronaldo na...
Ikanga Speed anatupia tu DR Congo UNAWEZA kusema winga Jonathan Ikangalombo ‘Ikanga Speed’ gari limewaka akiwa kwao DR Congo kufuatia kasi yake aliyonayo ya upachikaji mabao.
Shaun Bartlett aihimiza Bafana Bafana kumaliza ukame wa miaka 30 Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Shaun Bartlett, ameonesha imani kubwa kuwa Bafana Bafana inaweza kumaliza ukame wa kusubiri kwa miaka 30 kutwaa ubingwa wa Kombe la...
Achraf Hakimi wa nini, kuna Mazraoui BEKI wa kulia, Achraf Hakimi ameshindwa kucheza mechi ya kwanza ya Afcon 2025, lakini hilo la kukosekana kwake wala halikuwa pengo kwenye kikosi cha Morocco baada ya uwepo wa Noussair Mazraoui...
Staa wa Mali Afcon 2025 aivutia Man United MANCHESTER United imeripotiwa kuwa katika mazungumzo mazito na mshambuliaji anayeshiriki Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kuhusu uhamisho wa majira ya joto bila ya kulipa chochote.
Amad Diallo amewasha moto Ivory Coast MASTAA wawili wa Manchester United, Amad Diallo na Bryan Mbeumo wamekumbana uwanjani jino kwa jino kwenye mashindano ya Afcon 2025 huko Morocco.
DR Congo yaipiga kidude Benin huko Morocco UKUTA wa Aaron Wan-Bissaka, Chancel Mbemba, Axel Tuanzebe na Arthur Masuaku ulikuwa kizingiti kikubwa kwa washambuliaji wa Benin kupenya na hivyo kusababisha timu yao kuchapwa bao 1-0 na DR Congo...
Ferguson aonya kitu Man United SIR Alex Ferguson amesema inaweza kuwachukua Manchester United miaka mingine 10 kabla ya kunyakua tena taji la Ligi Kuu England. Lakini, gwiji huyo wa Man United amemwangushia mzigo wote kocha...