Emiliano Martinez ‘achizika’ na ubingwa Europa League KIPA wa Aston Villa, Emiliano 'Emi' Martinez, alishindwa kuzuia hisia zake na kuangua kilio cha furaha baada ya kikosi hicho kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Freiburg katika fainali ya...
Cristian Romero aikacha Spurs, atimkia Argentina Nahodha wa Tottenham Hotspur, Cristian Romero amezua hofu baada ya kusafiri kwenda nchini kwao Argentina kushuhudia fainali ya klabu yake ya utotoni ya Belgrano, huku Spurs ikikabiliwa na mechi...
Sakata la West Ham, Arsenal laibua mjadala Kombe la Dunia 2026 WACHEZAJI wa timu ya taifa ya England wamepewa onyo na kujiandaa na sheria kali dhidi ya mchezo wa kushikana na mivutano ndani ya eneo la hatari wakati wa michuano ya Kombe la Dunia 2026.
Bilionea amtikisa Florentino Perez Real Madrid BILIONEA mmoja mkubwa anaripotiwa kuwa tayari kumpa changamoto rais wa muda mrefu wa Real Madrid, Florentino Perez, katika uchaguzi wa urais wa klabu hiyo.
Ombi la Crystal Palace lagonga mwamba EPL Ligi Kuu ya England (EPL) imekataa ombi la Crystal Palace kutaka mechi ya mwisho ya msimu dhidi ya Arsenal ichezwe Jumamosi hii badala ya Jumapili.
Umri ni namba tu, Kombe la Dunia 2026 YAOUNDE, CAMEROON: WAKATI dunia ikisubiri kwa hamu kuanza kwa fainali za Kombe la Dunia 2026, Mwanaspoti linaendelea kuhesabu siku kuelekea mashindano hayo kwa kuangazia rekodi mbalimbali...
Vitinha aipa ubingwa wa dunia Ureno KIUNGO nyota wa Paris Saint-Germain, Vitinha amesema kikosi chao cha timu ya taifa la Ureno kina kila kitu kinachohitajika kufanikisha ndoto ya kutwaa Kombe la Dunia 2026 huku akieleza kuwa...
De Reuck: Nilipotea Sundowns, Simba wakanisitiri Beki wa Simba SC, Rushine De Reuck, amefunguka kuhusu kipindi kigumu alichopitia mwishoni mwa maisha yake ya soka akiwa Mamelodi Sundowns, akisema alikuwa hajui mustakabali wake ulikuwa wapi.
Waamuzi wamchefua Neymar, Santos ikipokea kichapo MSHAMBULIAJI wa Brazil, Neymar Jr, alijikuta kwenye taharuki kubwa na kupandwa na hasira baada ya kufanyiwa mabadiliko ya lazima kufuatia kosa kubwa lililofanywa na mwamuzi wa akiba.
Kisa Enzo Maresca, Chelsea kuiburuza Man City EPL CHELSEA ipo tayari kufungua mashtaka ya kisheria dhidi ya Manchester City kufuatia mienendo yao ya siri ya kumtaka aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, Enzo Maresca, isipokuwa kama matajiri hao wa...