Cole Palmer ampa hofu gwiji wa Chelsea ALIYEKUWA beki kisiki wa Chelsea, Marcel Desailly anaamini kiungo Cole Palmer anaweza kuwasilisha ombi la kuondoka endapo hataona dalili yoyote ya kwamba timu hiyo inaweza kutwaa ubingwa wa Ligi...
Maajabu ya Indiana Pacers fainali ya kibabe MWAKA 2025 umeshamalizika ukiacha kumbukumbu flani tamu na chungu kwa mashabiki wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA). Lakini, ni kumbukumbu gani ya michuano hiyo mwaka jana uliyoipenda na utabaki...
Madueke anavyompima ubavu Saka Arsenal HAKUNA kazi ngumu zaidi Arsenal kuliko kugombea namba na Bukayo Saka kwenye kikosi hicho cha kocha Mikel Arteta huko Emirates.
Siyo poa! Mastaa Man United hawajafurahishwa NDO hivyo. Lisemwalo ni kwamba kuna kundi kubwa la mastaa wa Manchester United hawajafurahishwa na namna klabu hiyo ilivyomfuta kazi kocha Ruben Amorim.
Brahim Diaz afunguka kuhusu penalti yake STAA wa Morocco, Brahim Diaz amevunja ukimya kuhusu penalti aliyopiga kwenye mchezo wa fainali ya Afcon 2025 baada ya madai kuwa aliikosa kwa makusudi.
Kazini kwa Gyokeres kuna kazi STRAIKA Viktor Gyokeres ni rahisi tu kusema kazini kwake kuna kazi baada ya magwiji tofauti wa Ligi Kuu England kumsakama wakidai “hana kile kinachohitajika” kuifanya Arsenal iwe mabingwa, kwa...
Pep Guardiola azua hofu Manchester City VIONGOZI wa Manchester City wana wasiwasi kuhusu uwezekano wa kocha wa timu hiyo, Pep Guardiola kuondoka mapema kuliko hata hukumu ya mashtaka 115 inayotarajiwa kutajwa hivi karibuni.
Kuhusu Jude Bellingham sikia hii STAA wa Real Madrid, Jude Bellingham ameweka wazi juu ya uwezekano wa kucheza Ligi Kuu England, baada ya ripoti kudai kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Real Madrid anaweza akatua katika ligi hiyo.
Riyad Mahrez, El Kaabi wakabana koo AFCON NYOTA wa Algeria, Riyad Mahrez, sambamba na Brahim Diaz na Ayoub El Kaabi wote wa Morocco wanachuana katika orodha wa wafungaji mabao katika michuano ya 35 ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)...
KVZ yabeba taji netiboli, Masauni akitia neno MAAFANDE wa KVZ ya visiwani hapa imebeba ubingwa wa Ligi ya Muungano kwa mchezo wa netiboli, huku Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Injini Hamad Masauni akisema Maendeleo ya michezo...