P Diddy asikilizia hukumu, akutwa na makosa mawili WAKATI jopo la majaji wa Mahakama ya Shirikisho New York, Marekani, likitumia saa 13 ndani ya siku tatu kujadiliana kutoa hukumu kwa Sean Combs 'P Diddy', limemtia hatiani kwa makosa mawili kati...
Man United inavyopenda kusajili mastraika ‘age go’ MANCHESTER United inahusishwa na mpango wa kumsajili straika wa Aston Villa, Ollie Watkins, ikidaiwa kutaka kuendelea rekodi yake ya kusajili washambuliaji ‘age go’.
Bayern yamgeukia Rashford BAYERN Munich imeingia katika harakati za kutaka kumsajili mshambuliaji wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, mwenye umri wa miaka 27, baada ya kuvutiwa na kiwango...
Beki Borussia awazia kipute cha Madrid WAKATI Real Madrid ikijiandaa sasa kwa mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia la Klabu, beki wa Borussia Dortmund, ambao watakuwa wapinzani wao kwenye hatua hiyo, Yan Couto amekiri kwamba siku...
Gyokeres, Arsenal jambo limeiva NDO hivyo. Arsenal imefikia patamu kwenye mazungumzo ya kumnasa straika wa mabao, Viktor Gyokeres baada ya kuamua kumchukua mkali huyo wa Sweden badala ya Benjamin Sesko.
Arsenal yafunika kulipa wagonjwa HABARI ndo hiyo. Hatimaye, Arsenal imebeba taji la kuwa timu iliyotumia pesa nyingi zaidi kuwalipa mishahara wachezaji majeruhi.
Filamu ya The Royal Tour yachochea ongezeko la watalii nchini Ikiwa imepita miaka mitatu tangu, tangu Rais Samia Suluhu Hassan azindue filamu ya ‘The Royal Tour’ filamu hiyo imeendelea kuchagiza ongezeko la watalii nchini
Man United yapewa masharti kwa Mbeumo BRENTFORD imeiambia Manchester United inapaswa kulipa Pauni 65 milioni kama kweli inamtaka Bryan Mbeumo kinyume cha hapo, fowadi huyo atabaki, haendi kokote.
Robo fainali Kombe la Dunia la klabu, mzigo upo hivi MASHINDANO ya Kombe la Dunia la Klabu 2025 inayofanyika Marekani yameingia hatua ya robo fainali, ambapo timu nane bora zinatarajiwa kupambana kujihakikishia nafasi ya kuwania tiketi ya nusu...
Ngoma ngumu shtaka moja la Diddy MAHAKAMA ya New York, Marekani imeanza kusikiliza kesi inayomkabili mwanamuziki nyota, Sean 'Diddy' Combs, huku jopo la baraza la mahakama likifikia uamuzi kuhusu mashtaka manne kati ya matano...