Kinachokwamisha dili la Gyokeres Arsenal ni hiki SIKU chache baada ya wawakilishi wa Arsenal kuondoka, Ureno bila ya kufikia makubaliano na mabosi wa Sporting Lisbon juu ya mauziano ya Viktor Gyokeres, tovuti ya Independent imefichua ukweli juu...
Nunez kuipa hasara Liverpool LIVERPOOL huenda ikapoteza takribani Pauni 15 milioni dirisha hili ikiwa itamuuza mshambuliaji wao wa kimataifa wa Uruguay, Darwin Nunez.
Chelsea v PSG kombe la Dunia fainali ya pesa CHELSEA na PSG zimeonyesha kiu yao ya kubeba ubingwa wa fainali za Kombe la Dunia kwa Klabu baada ya kutinga fainali kibabe baada ya kushinda mechi za nusu fainali katika michuano inayoendelea...
Ripoti ya ajali ya Jota ni hii DEREVA wa lori ambaye inadai aliona gari aina ya Lamborghini la Diogo Jota na Andre Silva likiwaka moto ameihakikishia familia ya ndugu hao kuwa gari hilo halikuwa likiendeshwa kwa mwendo kasi...
Waarabu waingilia dili la Arsenal kwa Sesko MSHAMBULIAJI wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Slovenia, Benjamin Sesko, mwenye miaka 22, ambaye pia anawindwa na Arsenal ameripotiwa kuwa katika rada za Al-Hilal ya Saudi Arabia inayohitaji...
Musiala amuondolea lawama Donnarumma STAA wa Bayern Munich, Jamal Musiala amesema “hakuna wa kulaumiwa” baada ya kuvunjika mguu na kifundo cha mguu katika mechi ya robo fainali ya Kombe la Dunia la klabu dhidi ya Paris...
Watano tayari Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim tayari amewapa ujumbe wa kutafuta timu nyingine mastaa watano wa miamba hiyo ya Old Trafford akiwamo Jadon Sancho anayetajwa ndiye atakuwa wa kwanza...
Trump kuibukia fainali ya Kombe la Dunia la Klabu Rais wa Marekani, Donald Trump amethibitisha kuwa atahudhuria fainali ya Kombe la Dunia la Klabu ya Fifa Jumapili huko New Jersey.
Caicedo awatoa jasho Chelsea BENCHI la ufundi la Chelsea limebaki kwenye presha kubwa ya wasiwasi wa hali ya kiungo wake Moises Caicedo ambaye aliumia kwenye mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia la Klabu dhidi ya...
Sarr alipia bili ya umeme kijijini kwao Senegal KIUNGO staa wa Tottenham Hotspur, Pape Matar Sarr amelipa pesa kugharimia umeme wa kijiji kizima huko kwao Senegal.