Grealish kujinoa kivyake Etihad JACK Grealish ameripotiwa kukubali kufanya mazoezi kivyake wakati huu akijiandaa na mpango wa kuachana na Manchester City kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi.
Timu kibao zinamtaka Darwin Nunez BARCELONA, AC Milan, Al Hilal na Al Nassr zote zipo katika vita kali ya kuiwania saini ya mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Uruguay, Darwin Nunez, 26, katika dirisha hili la majira...
Nyota 10 waliopo sokoni NBA SOKO la wachezaji huru katika Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA) linaelekea ukingoni huku shughuli nyingi za uhamisho zikitarajiwa kupungua kwa kasi kabla ya timu na viongozi wake kwenda...
Dili za mastaa zilizovunjika dakika za mwisho kimaajabu MANCHESTER United imegoma kuingia kwenye mtego wa Brentford wa kupandisha bei ya mchezaji Bryan Mbeumo kila wanapokaribia kufikia makubaliano, jambo linaloibua wasiwasi wa dili hilo kuvunjika.
Wakipatikana hawa Liverpool, maji mtaita ‘Mmma’ HUU msimu patakwenda kuchimbika. Liverpool inaonekana kufungua pochi kuhakikisha kocha Arne Slot anafanya usajili kwenye dirisha lake la kwanza la majira ya kiangazi - na sasa kinachoonekana...
Chelsea inaongoza matumizi ya pesa EPL! NDO hivyo. Chelsea ndiyo timu iliyofanya matumizi makubwa ya pesa kwenye Ligi Kuu England kuliko timu nyingine zote na imezizidi klabu wapinzani kwa pesa nyingi sana.
Elanga amshawishi Isak abaki, asiondoke ANTHONY Elanga anapambana kumshawishi straika Alexander Isak asiondoke Newcastle United abaki hapo ili wapige mzigo wakiwa pamoja msimu ujao.
Madrid, Liverpool yafungua mazungumzo dili la Rodrygo LIVERPOOL wamefanya mazungumzo ya awali na Real Madrid kuhusu winga wa klabu hiyo na timu ya taifa ya Brazil Rodrygo, mwenye umri wa miaka 24. Mabosi wa Liverpool wanamwangalia fundi huyu kama...
Hugo Ekitike kufosi dili la Liverpool STRAIKA, anayesakwa kwa nguvu zote na Liverpool, Hugo Ekitike ameripotiwa kuiandikia Eintracht Frankfurt barua ya kuomba kuondoka ili kukamilisha ndoto zake za kwenda kukipiga huko Anfield.
PRIME Kocha mpya Yanga anataka bao tano! VIONGOZI wa Yanga wamepanga Jumapili hii kuanza msimu mpya kwa kutambulisha benchi jipya la ufundi kisha kutangaza mastaa waliopewa ‘thank you’ na kumalizia wapya waliosajiliwa kabla ya timu...