Alexander Isak, Liverpool muda utaamua STRAIKA wa Newcastle United, Alexander Isak amekoleza moto wa kuwa kwenye rada za Liverpool huku mwenyewe akiwahi kukiri kuvutiwa na mpango wa kwenda kukipiga huko Anfield.
Hatimaye Arteta asema kitu kuhusu Partey KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema tena kwa msisitizo kwa asilimia 100 anaamini klabu yake ilifuata utaratibu wote unaofaa wa kuhusu kesi inayomkabili kiungo wa Ghana, Thomas Partey.
JASON STATHAM: Filamu zinavyomfanya aishi anavyotaka KUTOKA 'Transporter' hadi 'Working Man', kama hujatazama filamu za mkali wa mapigano Jason Statham basi umekosa mengi.
Liverpool yafikia patamu kwa Hugo Ekitike MABOSI wa Liverpool wamewasilisha ofa ya Pauni 69 milioni pamoja na nyongeza itakayofikia Pauni 78 milioni kwenda Eintracht Frankfurt kwa ajili ya kumsajili straika wa klabu hiyo na timu ya taifa...
Ishu ya Rashford, Barcelona ipo hivi NDOTO ya nyota wa kimataifa wa England na Klabu ya Manchester United, Marcus Rashford ya kutua Barcelona huenda ikatimia hivi karibuni baada ya miamba hiyo ya England kukubali kumtoa kwa mkopo...
Dah! Kisa dili, baba Gyokeres amwaga machozi Taarifa za hivi karibuni zinaeleza pande hizo mbili zimekubaliana kwa kauli tu juu ya ada ya uhamisho inayofikia Pauni 55 milioni , pamoja na nyongeza ya Pauni 8.6 milioni kama bonasi lakini...
PRIME Tshabalala Done Deal! HATA kabla saa 24 kutimia tangu alipowaaga mashabiki na wapenzi wa Simba, aliyekuwa beki wa kushoto na nahodha wa timu hiyo, Mohammed Hussein 'Tshabalala' amehamia mtaa wa pili. Beki huyo...
Jadon Sancho, Juventus ni suala la muda JUVENTUS imekubali kutoa Euro 25 milioni kwenda Manchester United kuipata saini ya winga wa timu hiyo, Jadon Sancho.
Kisa Liverpool, Alexander Isak astopishwa KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe amefunguka alilazimika kumpa ruhusa straika wao Alexander Isak kutokuwepo katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Celtic kutokana na presha kubwa ambayo mchezaji...
Inachokifanya Barcelona ni kama Yanga WAKATI Tanzania Yanga ikidaiwa kufikia makubaliano ya kumsajili Mohame Hussein Tshabalala kutoka kwa majirani zao Simba, kule Hispania mambo pia yapo hivi baada ya Barcelona kuripotiwa inataka...