Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Infantino, Motsepe watua Kenya kushuhudia fainali ya CHAN 2024

Muktasari:

  • Infantino amepokelewa na Rais wa Shirikisho la Soka Kenya (FKF) Hussein Mohamed mapema leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JKIA.

Rais wa Shirikisho la Soka duniani (FIFA) Gianni Infantino akiambatana na Rais wa Shirirkisho la Soka Africa (CAF) Patrice Motsepe wamewasili Kenya alfajori ya leo kwaajili ya fainali ya CHAN 2024 kati ya Morocco na Madagascar utakaochezwa kwenye uwanja wa Moi Kasarani leo.

Infantino amepokewa na Rais wa Shirikisho la Soka Kenya (FKF) Hussein Mohamed mapema leo katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa JKIA.

Fainali hiyo itapigwa kuanzia saa 12:00 Jioni, huku msanii wa Bongo Fleva kutoka Tanzania Zuhura Otham Soud maarufu Zuchu akiwa miongoni mwa wasanii wataoipamba fainali hiyo.


  • SAFARI YA MOROCCO, MADAGASCAR HADI KUFIKA FAINALI

MOROCCO

Matches 6

Wins 5

Draw 0

Lose 1

Goal Scored 10

Goal Conceded 4

Clean Sheets 2


MADAGASCAR

Matches 6

Wins 4

Draw 1

Lose 1

Goal Scored 7

Goal Conceded 4

Clean Sheets 3