Romain Folz rasmi atambulishwa Yanga Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026.
Isak aanza kuwapa joto mabosi wa Newcastle Utd MSHAMBULIAJI wa Newcastle na timu ya taifa ya Sweden, Alexander Isak mwenye umri wa miaka 25, anataka mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki ili kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia kwenye timu...
Ten Hag amtaka Sterling CHAMA jipya la Erik ten Hag, Bayer Leverkusen linamfuatilia kwa karibu winga Raheem Sterling ikihitaji saini yake kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi, imeelezwa.
Ekitike suala la muda Anfield STRAIKA, Hugo Ekitike anatarajia kutambulishwa kuwa staa mpya wa kikosi cha Arne Slot baadaye wiki hii baada ya Liverpool kukubali kulipa Pauni 79 milioni kunasa huduma ya mkali huyo kutoka...
Arteta anavyotumia pesa nyingi kunasa Mastaa TOFAUTI kabisa na watangulizi wake, Mikel Arteta anapewa maisha yote ya kitajiri kwenye kikosi cha Arsenal, akipewa ruhusa ya kusajili staa yeyote kwa gharama yoyote.
Rashford ana masharti 10 Barcelona SUPASTAA, Marcus Rashford anakaribia kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Barcelona lakini ili kwenda kufanikiwa huko, itamlazimu kufuata sheria hizi 10.
Wakala wa Isak afunguka hatma ya Staa huyo Newcastle WAKALA wa straika, Alexander Isak amefichua kwamba staa huyo wa Newcastle United yupo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha hatima mpya ya maisha yake baada ya uvumi mwingi kwenye dirisha hili la...
Luis Diaz, Bayern Munich haijaisha hadi iishe WINGA wa kimataifa wa Colombia Luis Diaz, 28, bado ana dhamira ya kuondoka Liverpool dirisha hili la usajili la majira ya kiangazi na Bayern Munich ni miongoni mwa timu anazoweza kutua.
PRIME Hersi apita na mido wa Simba ULISIKIA lile jina la kiungo Lassine Kouma kutoka Stade Malien? Yule aliyekuwa anawindwa na Simba? Basi Yanga imefanya kama ilivyofanya kwa mastaa wengine. Taarifa zinabainisha imeshapita naye...
Offen Chikola asaini Yanga, apewa mitatu YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola.