Makipa kumi wa bei mbaya duniani MANCHESTER United iliingia kwenye siku ya mwisho ya kufungwa kwa dirisha la usajili la majira ya kiangazi huko Ulaya jana Jumatatu, ikiwa bize kusaka kipa mpya.
De Ligt: Amorim? tupo naye BEKI wa kati wa Manchester United, Matthijs de Ligt amesisitiza wachezaji wa timu hiyo wanampa sapoti kubwa Kocha Ruben Amorim na wanamtaka abaki.
We ni refa? Msikie Pierluigi Collina MWENYEKITI wa kamati ya waamuzi wa Shirikisho la kimataifa la soka (FIFA), Pierluigi Collina amefunguka marefa wazuri kwenye mchezo wa soka wana kazi kubwa ya kufanya uwanjani kama wanataka...
Arteta aanza kutafuta kisingizio KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amekiri majeruhi wengi kwenye kikosi chake limekuwa tatizo linalowatatiza kwenye mchakamchaka wao wa kusaka ubingwa wa Ligi Kuu England.
Kwa ratiba hii... Muda wa kupumzika kwa wachezaji ni mtihani BODI ya Ligi Kuu Bara (TPLB) imetoa ratiba ya msimu wa 2025-2026 uliopangwa kuanza Septemba 17 kwa mechi mbili - KMC itacheza na Dodoma Jiji, Dar es Salaam ilhali Coastal Union dhidi ya Tanzania...
Vurugu za usajili wakati dirisha likifungwa Ulaya LONDON, ENGLAND: DIRISHA la usajili wa majira ya kiangazi huko Ulaya limefungwa rasmi, ambapo klabu mbalimbali hasa za Ligi Kuu England zilikuwa bize kwelikweli kusajili mastaa wapya kwenye...
Fenerbahce mguu sawa kumnasa Ederson FENERBAHCE wako kwenye hatua za mwisho za kumsajili kipa wa Manchester City, Ederson, 32, dirisha hili.
Garnacho atupa kijembe Man United STAA Alejandro Garnacho amefunguka kwa mara ya kwanza baada ya kujiunga na Chelsea akijaribu kuwaambia Manchester United kile ambacho watakosa baada ya kutua zake Stamford Bridge.
Mourinho: Kocha anayetajirika kwa kufukuzwa kazi MWISHONI mwa wiki iiyopita moja ya stori kubwa ilikuwa ni kufukuzwa Kocha Jose Mourinho kufukuzwa na Fenerbahce ya Uturuki baada ya kutolewa hatua za awali za Ligi ya Mabingwa Ulaya.