Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8131 results for Mwandishi Wetu :

  1. Romain Folz rasmi atambulishwa Yanga

    Klabu ya Yanga imemtambulisha Romain Folz kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao wa 2025-2026.

  2. Isak aanza kuwapa joto mabosi wa Newcastle Utd

    MSHAMBULIAJI wa Newcastle na timu ya taifa ya Sweden, Alexander Isak mwenye umri wa miaka 25, anataka mshahara wa Pauni 300,000 kwa wiki ili kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia kwenye timu...

  3. Ten Hag amtaka Sterling

    CHAMA jipya la Erik ten Hag, Bayer Leverkusen linamfuatilia kwa karibu winga Raheem Sterling ikihitaji saini yake kwenye dirisha hili la majira ya kiangazi, imeelezwa.

  4. Ekitike suala la muda Anfield

    STRAIKA, Hugo Ekitike anatarajia kutambulishwa kuwa staa mpya wa kikosi cha Arne Slot baadaye wiki hii baada ya Liverpool kukubali kulipa Pauni 79 milioni kunasa huduma ya mkali huyo kutoka...

  5. Arteta anavyotumia pesa nyingi kunasa Mastaa

    TOFAUTI kabisa na watangulizi wake, Mikel Arteta anapewa maisha yote ya kitajiri kwenye kikosi cha Arsenal, akipewa ruhusa ya kusajili staa yeyote kwa gharama yoyote.

  6. Rashford ana masharti 10 Barcelona

    SUPASTAA, Marcus Rashford anakaribia kukamilisha uhamisho wake wa kujiunga na Barcelona lakini ili kwenda kufanikiwa huko, itamlazimu kufuata sheria hizi 10.

    New Content Item (1)
  7. Wakala wa Isak afunguka hatma ya Staa huyo Newcastle

    WAKALA wa straika, Alexander Isak amefichua kwamba staa huyo wa Newcastle United yupo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha hatima mpya ya maisha yake baada ya uvumi mwingi kwenye dirisha hili la...

  8. Luis Diaz, Bayern Munich haijaisha hadi iishe

    WINGA wa kimataifa wa Colombia Luis Diaz, 28, bado ana dhamira ya kuondoka Liverpool dirisha hili la usajili la majira ya kiangazi na Bayern Munich ni miongoni mwa timu anazoweza kutua.

  9. PRIME Hersi apita na mido wa Simba

    ULISIKIA lile jina la kiungo Lassine Kouma kutoka Stade Malien? Yule aliyekuwa anawindwa na Simba? Basi Yanga imefanya kama ilivyofanya kwa mastaa wengine. Taarifa zinabainisha imeshapita naye...

  10. Offen Chikola asaini Yanga, apewa mitatu

    YANGA SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu ujao wa 2025-2026 ambapo leo Juni 22, 2025 imemtambulisha winga, Offen Chikola.

Previous

Page 403 of 814

Next