Xavi Simons akija kuna mtu anatoka CHELSEA ipo kwenye hatua za mwisho kabisa kunasa saini ya Xavi Simons, lakini dili hilo litamshuhudia staa mmoja wa Chelsea akichomolewa kikosini.
Viktor Gyokeres awavuruga mashabiki Arsenal KUMEKUCHA. Mashabiki wa Arsenal wametumia kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii kutuma ujumbe kwa mabosi wao kusitisha mpango wa kumchukua straika Viktor Gyokeres na badala yake ikamnase...
PRIME Sowah afunguka dili la Simba, akituma salamu mapema MABOSI wa Simba wameendelea kukisuka kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao wa 2025-2026 kwa kushusha mashine za maana kimyakimya, huku ikielezwa imeshamalizana na straika aliyekuwa Singida Black...
PRIME Kocha Mbelgiji akiri Yanga imepata jembe! KIKOSI cha Yanga inaendelea kusukwa kwa mashine mpya zikitambulishwa sambamba na wale waliokuwapo katika kikosi cha msimu uliopita wakiongezewa mikataba kama alivyofanyiwa Danis Nkane...
Real Madrid, Konate ngoma bado mbichi, awekewa mzigo mezani LIVERPOOL imempa ofa nono ya mkataba mpya beki wao kisiki raia wa Ufaransa, Ibrahima Konate, 26, ili kuzuia mpango wa Real Madrid inayohitaji sana saini yake.
Ishu ya Son ipo hivi Spurs TOTTENHAM Hotspur inapiga hesabu za kukubali ofa ya Pauni 15 milioni kwa ajili ya kumpiga bei nahodha wao Son Heung-min baada ya staa huyo kuwindwa na miamba ya Marekani, LAFC.
Mourinho awapiga kijembe Chelsea JOSE Mourinho ameipiga kijembe Chelsea kwamba kushinda ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu ni muhimu kwao, lakini upande wake alitazama michuano hiyo kama vile ambavyo mara zote amekuwa akienda...
Machimbo sita ya straika Alexander Isak ALEXANDER Isak huenda akaanzisha vita kali baada ya kuiambia Newcastle United anataka kuhama.
Mastaa Yanga, Simba wabebeshwa jukumu CHAN 2024 Kocha huyo pia amefichua kwamba eneo linalompa matumaini zaidi katika kikosi chake ni safu ya ulinzi ingawa pia safu ya kiungo inatia matumaini.
Simba yabisha hodi Mamelodi, yaondoka na De Reuck De Reuck anategemewa kuziba pengo la Che Fondoh Malone ambaye ameachana na timu hiyo na kujiunga na USM Alger ya Algeria.