Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8126 results for Mwandishi Wetu :

  1. Jeuri ya Maximo ilivyomnyima historia CHAN

    Klabu ya KMC ya Dar es Salaam imemtambulisha Marcio Maximo kama kocha wao mpya kuelekea msimu wa 2025/26. Hii ni mara ya tatu kwa raia huyo wa Brazil kuja Tanzania kufundisha soka, baada...

    MAXIMO PIct
  2. Paqueta mambo safi tu hajabeti

    KIUNGO wa West Ham United, Lucas Paqueta amefutiwa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili juu ya sakata la kubeti ambalo lilikuwa likimuweka kwenye hatari ya kufungiwa soka maisha.

    PAQUETA Pict
  3. Usiichukulie poa CHAN 2024

    FAINALI za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN 2024) ufunguzi wake ni leo Jumamosi Agosti 2, 2025 na wenyeji Tanzania watacheza dhidi ya Burkina Faso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

    POA Piict
  4. Yes! Samia na michezo damdamu

    UTASEMA nini kuhusu michezo hususani soka, bila kulitaja jina la Sais Samia Suluhu Hassan.

    RAIS Pict
  5. Chelsea ikimpata Simons kazi mnayo

    STAA wa RB Leipzig, Xavi Simons anaweza kuwa mtu sahihi kwenda kumpunguzia mzigo wa kutengeneza nafasi za mabao mchezaji Cole Palmer huko Chelsea.

    CHELSEA Pict
  6. Arteta afunguka kipigo cha Spurs

    KOCHA, Mikel Arteta amesema kichapo ilichokipata kutoka kwa mahasimu wao Tottenham Hotspur kwenye mechi ya kirafiki huko Hong Kong kinawaamsha kwamba wanapaswa kuongeza nguvu kwenye maandalizi...

    ARTETA Pict
  7. Mzize hatihati ufunguzi Chan 2024

    STRAIKA tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Clement Mzize yupo katika hatihati ya kucheza mechi ya ufunguzi ya fainali za michuano ya Kombe la Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (Chan)...

    MZIZE Pict
  8. Saa ya Messi ya sh2.3 bilioni yazua gumzo

    STAA wa Inter Miami na Argentina, Lionel Messi ameonekana akiwa amevaa saa ya kifahari ya rangi ya waridi inayojulikana kama Rolex Daytona “Barbie”, yenye thamani ya takribani Pauni 700,000...

    MESSI Pict
  9. Mashabiki wa Brazil hatarini kukosa Kombe la Dunia 2026

    MASHABIKI wa Brazil wanaotarajia kusafiri kwenda Marekani kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026 huenda wakakataliwa viza kutokana na sheria mpya zilizowekwa na nchi hiyo.

    BRAZIL Pict
  10. Chelsea bado inapambana kwa Alejandro Garnacho

    CHELSEA bado inashinikiza kutaka kuipata saini ya winga wa Manchester United na timu ya taifa Argentina, Alejandro Garnacho katika dirisha hili.

    TETESI Pict
Previous

Page 393 of 813

Next