Jeuri ya Maximo ilivyomnyima historia CHAN Klabu ya KMC ya Dar es Salaam imemtambulisha Marcio Maximo kama kocha wao mpya kuelekea msimu wa 2025/26. Hii ni mara ya tatu kwa raia huyo wa Brazil kuja Tanzania kufundisha soka, baada...
Paqueta mambo safi tu hajabeti KIUNGO wa West Ham United, Lucas Paqueta amefutiwa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili juu ya sakata la kubeti ambalo lilikuwa likimuweka kwenye hatari ya kufungiwa soka maisha.
Usiichukulie poa CHAN 2024 FAINALI za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN 2024) ufunguzi wake ni leo Jumamosi Agosti 2, 2025 na wenyeji Tanzania watacheza dhidi ya Burkina Faso kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yes! Samia na michezo damdamu UTASEMA nini kuhusu michezo hususani soka, bila kulitaja jina la Sais Samia Suluhu Hassan.
Chelsea ikimpata Simons kazi mnayo STAA wa RB Leipzig, Xavi Simons anaweza kuwa mtu sahihi kwenda kumpunguzia mzigo wa kutengeneza nafasi za mabao mchezaji Cole Palmer huko Chelsea.
Arteta afunguka kipigo cha Spurs KOCHA, Mikel Arteta amesema kichapo ilichokipata kutoka kwa mahasimu wao Tottenham Hotspur kwenye mechi ya kirafiki huko Hong Kong kinawaamsha kwamba wanapaswa kuongeza nguvu kwenye maandalizi...
Mzize hatihati ufunguzi Chan 2024 STRAIKA tegemeo wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Clement Mzize yupo katika hatihati ya kucheza mechi ya ufunguzi ya fainali za michuano ya Kombe la Ubingwa kwa Mataifa ya Afrika (Chan)...
Saa ya Messi ya sh2.3 bilioni yazua gumzo STAA wa Inter Miami na Argentina, Lionel Messi ameonekana akiwa amevaa saa ya kifahari ya rangi ya waridi inayojulikana kama Rolex Daytona “Barbie”, yenye thamani ya takribani Pauni 700,000...
Mashabiki wa Brazil hatarini kukosa Kombe la Dunia 2026 MASHABIKI wa Brazil wanaotarajia kusafiri kwenda Marekani kwa ajili ya Kombe la Dunia la 2026 huenda wakakataliwa viza kutokana na sheria mpya zilizowekwa na nchi hiyo.
Chelsea bado inapambana kwa Alejandro Garnacho CHELSEA bado inashinikiza kutaka kuipata saini ya winga wa Manchester United na timu ya taifa Argentina, Alejandro Garnacho katika dirisha hili.