Mwaka mmoja wa Robinho jela STAA wa zamani wa Manchester City, Robinho amekamilisha mwaka mmoja wa kutumikia kifungo chake cha miaka tisa jela.
LeBron, Doncic kugeuza kibao Lakers? KWA miongo sita iliyopita, Los Angeles Lakers wamekuwa moja ya timu za hadhi ya juu katika Ligi ya NBA, wakijivunia historia ya mataji 17 na mastaa wa enzi za dhahabu kama Kareem Abdul-Jabbar...
Yametimia huko! Sesko atua rasmi Man United STRAIKA, Benjamin Sesko ametambulishwa rasmi kuwa mchezaji mpya wa Manchester United baada ya miamba hiyo ya Old Trafford kushinda vita ya kunasa saini yake dhidi ya Newcastle United.
Saini zinazosubiriwa kwa hamu kubwa dirisha hili MANCHESTER United inafahamu wazi kitu gani inachopaswa kufanya ili kurudi kwenye ubora wake na kuwa timu siriazi kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England.
Chelsea yaibiwa kamera mazoezini CHELSEA imeripotiwa kupiga simu polisi kuripoti tukio la kupotea kwa kamera yenye thamani ya Pauni 30,000 kwenye uwanja wake wa mazoezi.
Ballon d’Or 2025 namba zinazungumza MAJINA 30 ya mastaa wa soka yametajwa kwenye mchakato wa kuwania tuzo ya Ballon d’Or 2025 kwa kuzingatia ubora wa viwango vyao kwenye mechi walizocheza msimu wa 2024-25.
Straika Algeria auota ubingwa CHAN 2024 MSHAMBULIAJI nyota wa Algeria, Aimen Mahious, ameweka wazi dhamira yake ya kuiongoza timu yake kutwaa ubingwa wa CHAN 2024, akisisitiza kuwa huu ndio wakati wao wa kutimiza ndoto hiyo.
Arteta: Majeruhi? Wote wapo fiti KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaahidi mashabiki wa timu hiyo kwamba atamaliza tatizo la majeruhi kabla ya msimu kuanza.
Newcastle, Bayern Munich jino kwa jino kwa Jackson BAYERN Munich imeingia katika vita dhidi ya Newcastle United kumuwinda mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Senegal, Nicolas Jackson, mwenye umri wa miaka 24.
Ibenge aanza kuona mwanga Azam FC KOCHA wa Azam FC, Florent Ibenge, ameonyesha imani na kuvutiwa na kiwango cha nyota wa timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara, Kombe la FA na mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika.