Nicolas Jackson apasua ukweli Chelsea STAA wa Chelsea, Nicolas Jackson amemueleza kocha wa timu hiyo, Enzo Maresca anafikiria kujiunga na timu nyingine.
Mokhtar afufua ndoto za Mauritania CHAN 2024 USHINDI wa Mauritania dhidi ya Jamhuri ya Afrika ya Kati katika michuano ya CHAN 2024 umeibua matumaini mapya kwa kikosi cha Mourabitounes, huku mchezaji bora wa mechi hiyo, Ahmed Mokhtar Ahmed...
Marioo acharuka ishu ya kubadili dini NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo ameshangaa wanaodai amebadili dini ili kufunga ndoa na Paula, jambo ambalo ameweka wazi sio rahisi kutokea kamwe.
IRON MAN: Mkono wa chuma unaingiza pesa, moyo unatoa kwa jamii UKITAJA waigizaji 50 wanaoingiza pesa nyingi duniani, huwezi kulikosa jina la Robert Downey Jr 'Iron Man'.
Hebu msikieni kocha Arne Slot KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amesema timu hiyo inaweza kupewa nafasi kubwa ya kubeba taji la Ligi Kuu England msimu huu, lakini hilo si kwa sababu ya pesa ambazo wametumia kusajili kwenye...
Wanapojifua mastaa Man United usipime MATHEUS Cunha amechagua mwenyewe kwenda Manchester United. Bryan Mbeumo ametaka mwenyewe kutua Man United. Benjamin Sesko amechagua pia kutua kwa miamba hiyo ya Old Trafford, sawa na...
Vigogo Ulaya wapewa mchongo kumpata Donnarumma Paris Saint-Germain inatarajia kupokea ofa kutoka Chelsea, Manchester United au Inter Milan kwa kipa wa timu ya taifa ya Italia, Gianluigi Donnarumma,26, ambaye ameomba kuondoka dirisha hili.
Staa Eze abeba matumaini Arsenal KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Ray Parlour anaamini timu hiyo itafanikiwa kunasa saini ya Eberechi Eze ikiwa ni usajili wao wa mwisho dirisha hili.
Mwaka mmoja wa Robinho jela STAA wa zamani wa Manchester City, Robinho amekamilisha mwaka mmoja wa kutumikia kifungo chake cha miaka tisa jela.
LeBron, Doncic kugeuza kibao Lakers? KWA miongo sita iliyopita, Los Angeles Lakers wamekuwa moja ya timu za hadhi ya juu katika Ligi ya NBA, wakijivunia historia ya mataji 17 na mastaa wa enzi za dhahabu kama Kareem Abdul-Jabbar...