Masha Love atoa neno ndoa na Mose Iyobo MWANADADA mwenye mvuto wa aina yake Bongo, Masha Love amefichua ukweli juu ya kuridhia ndoa na dansa wa Diamond, Mose Iyobo na ameamua kuolewa ili kutoa nuksi.
Amorim atabasamu ishu ya Donnarumma KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim aliachia tabasamu zito alipoulizwa na shabiki mmoja kama atamsajili nyota wa Paris Saint-Germain, Gianluigi Donnarumma.
Uganda, Niger kazi ipo Kampala UHONDO wa fainali za Ubingwa wa Nchi za Afrika (CHAN) 2024 unaendelea leo Jumatatu kwa mechi mbili za Kundi C zitakazopigwa jijini Kampala, mapema saa 11:00 jioni Afrika Kusini itajiuliza mbele...
Zuchu: Akinipenda Mondi inatosha MSANII wa Wasafi, Zuchu amesema hata kama leo watu watamchukia kwa jinsi alivyo au kwa kuzungumza ukweli, hawezi kuumia hata siku moja kwa sababu anaamini aliyempenda kwa dhati ni mumewe, Diamond...
Isak, Newcastle United wamefikia pabaya STAA wa Newcastle, Alexander Isak inadaiwa amechukizwa sana na kitendo cha viongozi wa timu yake kumwambia wazi hatauzwa dirisha hili la majira ya kiangazi jambo ambalo limevunja matumaini yake...
PRIME Hatutaki lawama SIMBA inaendelea kupikwa upya kule Ismailia, Misri, ikipania kutaka kufanya mapinduzi makubwa msimu ujao ikiyataka mataji, lakini watani wao wa jadi, Yanga walikuwa nchini wamejichimbia KMC...
Angola yapindua meza kibabe, ikiizima Zambia Angola imetoka nyuma na kutengeneza ushindi muhimu mbele ya Zambia, ikishinda kwa mabao 2-1 katika mchezo wa tatu hatua ya makundi ya Fainali za Ubingwa kwa Mataifa Afrika (CHAN) 2024. Zambia...
Chelsea yaendelea kupambana kumnasa Alejandro Garnacho CHELSEA ambayo imefikia makubaliano binafsi na Alejandro Garnacho, imeongeza kasi ya mazungumzo na Manchester United kuhusu suala la ada ya uhamisho ya staa huyo aliyewaeleza wawakilishi wake...
Kumekucha mashindano ya Gofu ya Rotary Club MASHINDANO ya 15 ya Gofu ya Rotary Club ya Bahari yanatarajiwa kufanyika Agosti 16 kwenye viwanja vya Klabu ya Gymkhana Dar es Salaam.
Rashford mambo freshi La Liga STAA wa Manchester United anayecheza kwa mkopo Barcelona, Marcus Rashford ni moja ya majina saba ambayo huenbda yakaingia katika orodha ya nyota watakaokipiga La Liga msimu ujao.