Wasauzi wamwashia taa ya kijani Maema Simba MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema.
DR Congo yaiong'oa Angola CHAN 2024 KIPIGO cha mabao 2-0 kutoka kwa DR Congo katika pambano la Kundi A la michuano ya CHAN 2024 umeing'oa Angola katika michuano hiyo ikiungana na Nigeria, Afrika ya Kati na Zambia.
Kompyuta yaleta balaa zito EPL ACHANA na kilichotokea usiku wa jana Ijumaa, Liverpool imetabiriwa itatetea taji lake la Ligi Kuu England msimu huu, kwa mujibu wa uchambuzi wa kompyuta maalumu ya mtandao wa Opta.
Barca, Madrid zarudi mzigoni La Liga MCHAKAMCHAKA wa La Liga unaanza wikiendi hii, lakini kitu cha kushangaza kwa mara ya kwanza, Real Madrid itasubiri hadi Jumanne kucheza mechi yake ya kwanza kwenye michuano hiyo ya msimu huu.
He! Sikia hii ya Viktor Gyokeres POLISI nchini Sweden imeripotiwa kufanya uchunguzi tukio la kufyatuliwa kwa risasi iliyodaiwa ulikuwa mpango wa kumteka mtu aliyehusika kwenye uhamisho wa straika mpya wa Arsenal, Viktor...
Kumbe ishu ya Sesko ameumiza wengi KITENDO cha Manchester United kumnasa straika Benjamin Sesko hakikuacha tu masikitiko kwa Newcastle United bali kwa vigogo kibao Ulaya, imeelezwa.
CHAN 2024: Guinea, Algeria ngoja tuone FAINALI za CHAN 2024 zinaingia wiki ya pili leo Ijuma tangu zilipoanza rasmi Agosti 2 na zitapigwa mechi mbili za Kundi C, mapema saa 11:00 jioni Guinea itavaana an Algeria, huku usiku ni zamu ya...
Vikosi vitakavyotoana jasho mechi za kwanza Ligi Kuu England KIPUTE cha Ligi Kuu England kinarudi tena leo Ijumaa na macho na masikio ya wengi yatakuwa huko Anfield, ambako kutakuwa na mechi ya kibabe kati ya wenyeji Liverpool, ambao ni mabingwa watetezi...
Man City yaingilia dili la Simons kwenda Chelsea MANCHESTER City inadaiwa kuingilia kati dili la Chelsea la kumsajili winga wa RB Leipzig na timu ya taifa ya Uholanzi, Xavi Simons, 22.
Sancho kufanywa chambo kwa Baleba WINGA Jadon Sancho huenda akatumika kama sehemu ya ofa ya Manchester United katika mchakato wao wa kuwashawishi Brighton ili kumnasa kiungo wa boli, Carlos Baleba.