Pep Guardiola amaliza utata ishu ya Erling Haaland KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amezima uvumi unaomhusisha Erling Haaland na kuhamia Barcelona, akisisitiza kuwa mshambuliaji huyo “sio mjing ” kiasi cha kutaka kuondoka Manchester City...
Utani wamponza staa Chelsea MASHABIKI wa Chelsea walikasirishwa sana na kitendo cha mchezaji wao Jorrel Hato kuonekana akimfanyia utani kwa kumrukia staa wao mwingine Cole Palmer ambaye kwa sasa yupo nje kutokana na majeraha.
MAGIC: Fundi mwingine anayetajirika baada ya kustaafu KATIKA mpira wa kikapu kwa sasa, wachezaji ambao wanaongoza kwa utajiri kijumla sio wale wanaocheza bali waliostaafu tena zamani.
Wachambuzi, malejendi wamvaa kocha Man United MCHEZAJI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville amekosoa vikali madai ya Ruben Amorim kwamba wachambuzi wanashawishi wachezaji wa timu hiyo na kumtaka asijifiche na kulaumu watu wengine.
Arteta afafanua ishu ya Odegaard, Rice KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kapteni wa timu yake, Martin Odegaard pamoja na kiungo Declan Rice walioshindwa kuendelea katika mechi dhidi ya West Ham wamepata majeraha ambayo...
Liverpool yapanga kuweka mzigo kwa Olise LIVERPOOL iko tayari kutumia takribani Pauni 130 milioni kumsajili winga wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise, mwenye umri wa miaka 23, dirisha la majira ya kiangazi mwakani.
Matajiri Saudi Arabia waweka noti kwa Kane MATAJIRI wa Saudi Arabia kutoka timu ya Al-Hilal, wapo tayari kumpa Harry Kane pesa ndefu inayofikia Pauni 261 milioni kama mshahara wa kuwatumikia kwa miaka mitatu.
Mashabiki waiponza Leeds United, FA yaanza uchunguzi Chama cha Soka England (FA) kimeanza kufanya uchunguzi dhidi ya mashabiki wa Leeds United baada ya vurugu zilizojitokeza wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya EPL dhidi ya Tottenham iliyopigwa jana...
Sergio Busquets aagwa rasmi Inter Miami Klabu ya Inter Miami, rasmi imemuaga kiungo wa Hispania Sergio Busquets, ambaye atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu.