BURNA BOY: Dunia ya muziki inavyompa maisha INAWEZEKAN jina la Damini Ebunoluwa Ogulu likawa geni masikioni mwako, lakini ukisikia Burna Boy hushtuki kama ni mfuatilia wa muziki.
PRIME Hizi ndiyo sababu za Ibenge kukata mastaa Azam Baada ya kukaa na kikosi kwa mwezi mzima, kocha mkuu wa Azam FC amefyeka wachezaji kadhaa wa timu hiyo. Taarifa za kuaminika kutoka kwa watu wa karibu wa benchi la ufundi la kocha huyo zinasema...
Kisa kupungua... Serena awashusha presha mashabiki LONDON, ENGLAND: Mcheza tenisi mashuhuri duniani, Serena Williams, hatimaye amefichua siri ya mabadiliko yake makubwa ya mwili mwezi mmoja tu baada ya kuibua hofu miongoni mwa mashabiki wake...
Jux, Priscilla wapata mtoto wa kiume, ataitwa Prince Rakeem Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Juma Mkambala 'Jux' na mke wake Priscilla wamebarikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wakiume aliyezaliwa huko nchini Canada na kumpatia jina la Rakeem Ayomide...
PRIME Assinki kwenye mtego mzito Yanga Beki wa kati Frank Assinki wiki iliyopita alitangazwa mchezaji mpya wa Yanga akijiunga na timu hiyo kutokea Singida Black Stars kwa mkataba wa mwaka mmoja, hata hivyo ana kazi kubwa ya kufanya...
Ishu ya ubaguzi, Semenyo apendekeza adhabu STAA wa Bournemouth, Antoine Semenyo amesema anaamini hukumu ya kifungo cha jela inaweza kuwa adhabu sahihi kabisa kwa wanaoendekeza ubaguzi wa rangi kwenye mchezo wa mpira wa miguu.
Waarabu warudi tena kwa Bruno Fernandes NAHODHA wa Manchester United, kiungo fundi wa boli, Bruno Fernandes amewekwa tena kwenye rada za Al-Ittihad ya Saudi Arabia ikihitaji huduma yake kabla ya dirisha hili la majira ya kiangazi...
Mourinho atajwatajwa huko Nottingham Forest KOCHA nguli, Jose Mourinho ameripotiwa huenda akarudi kwenye Ligi Kuu England kwa kishindo kwenda kuchukua mikoba huko Nottingham Forest endapo kama Nuno Espirito Santo atafutwa kazi.
Donnarumma ni suala la muda tu kusaini Manchester City GIANLUIGI Donnarumma ameripotiwa kufikia makubaliano na klabu ya Manchester City.
Rashford mambo si mambo Barcelona STAA Marcus Rashford amekutana na wakati mgumu katika mechi yake aliyoanzishwa kwa mara ya kwanza na Barcelona kwenye La Liga baada ya kutolewa kipindi cha kwanza huku timu hiyo ikiwa nyuma kwa...