Rooney amchana Salah, ampa ushauri Slot Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney amemvaa nyota wa Liverpool, Mohamed Salah akisema mchango wake kwa sasa umekuwa mdogo wakati huu ambao timu hiyo inapitia kipindi kigumu.
Dakika 444 bila bao, huyu ndiye Viktor Gyökeres Klabu ya Arsenal imeanza msimu kwa kiwango cha kuvutia, ikishinda mechi nane kati ya kumi za mwanzo, lakini mambo hayajawa mepesi sana kwa mshambuliaji mpya Viktor Gyökeres.
Stand United na kina United wengine MFULULIZO wa matamasha ya burudani kwa timu za mpira wa miguu nchini umeendelea juma lililopita kwa klabu ya Stand United ya Shinyanga nayo kufanya shughuli yake.
Robert Matano: Ligi ya Tanzania unachoka kabla ya mechi UNAMKUMBUKA Kocha Robert Matano aliyeinoa Fountain Gate msimu uliopita? Sasa baada ya kuachana na timu hiyo amerejea nyumbani kwao Kenya na kutua KCB huku matumaini yakiwa ni kuipa taji la kwanza...
Kocha Tusker aomba utulivu, aahidi kufanya makubwa Kocha mkuu wa Tusker FC, Charles Okere, ameomba mashabiki wa timu hiyo kuwa watulivu baada ya kuwa na mwanzo mbaya kwenye Ligi Kuu ya Kenya, kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Shabana FC kwenye Uwanja...
PRIME Hersi, Arafat waachiwa msala hatima ya Folz Yanga PRESHA iliyopo ndani ya Yanga hivi sasa, inamfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz kusikilizia hatima yake ndani ya timu hiyo. Hali hiyo imekuja kufuatia kundi kubwa la mashabiki...
Afrika yatikisa Kombe la Dunia U20 Timu tatu kati ya nne za Afrika zimefanikiwa kutinga hatua ya 16 ya Fainali za Kombe la Dunia la Vijana Chini ya Umri wa miaka 20 zinazoendelea nchini Chile.
Staa Mexico atuhumiwa kwa unyanyasaji kingono Mchezaji wa zamani wa Chivas de Guadalajara, Omar Bravo, amekamatwa Jumamosi Oktoba 4, 2025 kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono dhidi ya mtoto wa kike ambaye hakutajwa jina, kama...
Guardiola kuwakutanisha mezani Ferguson, Wenger Kufikisha ushindi wa 250 katika Ligi Kuu England ni mafanikio makubwa yanayohitaji aina maalum ya sherehe. Kupitia hilo, Pep Guardiola amepanga kuwakutanisha Sir Alex Ferguson na Arsene Wenger...
Messi aweka rekodi mpya Marekani Lionel Messi anaendelea kuthibitisha kuwa mchango wake katika Ligi Kuu ya Soka Marekani (MLS) hauna kifani. Katika mchezo dhidi ya New England Revolution, nahodha huyo wa Inter Miami alitoa...