Mashabiki Man United wakinukisha KIMENUKA. Ndicho unachoweza kusema baada ya mashabiki wa Manchester United kuripotiwa kutoa maoni ya kutaka kocha Ruben Amorim afutwe kazi kwa kitendo chake cha kumfanya kiungo Kobbie Mainoo kuwa...
PRIME Yanga, Aucho kuna kitu kinaendelea Aucho ulitokana na namna alivyocheza msimu uliomalizika. Kuna wakati tulimkosa ilituumiza kutokana na majeraha. Hakuna shida kati ya Yanga na Aucho ndio maana mliona hata rais wetu (Hersi...
TEAM MONEY: Kikosi cha Kwanza cha wanaolipwa mshahara mkubwa 2025-26 MIAMBA ya soka ya Hispania, Real Madrid inatawala soka la Ulaya kwenye kikosi cha kwanza cha mastaa wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi msimu huu wa 2025-26, lakini timu hiyo ina majina ya...
Tatu za England zaendelea kumgombania Rodrygo MANCHESTER City, Arsenal na Liverpool zinavutiwa na winga wa Real Madrid, Rodrygo Goes, 24, lakini hadi sasa hazijawasilisha ofa.
Huyo Cristiano Ronaldo ni mabao tu SUPASTAA, Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya soka kufunga mabao 100 au zaidi katika klabu nne tofauti, lakini bado ameshindwa kuisaidia timu yake kubeba taji la Saudi...
Eberechi Eze afichua siri Arsenal STAA Eberechi Eze amefichua ni kama alikuwa kwenye majaribio kikosi cha Arsenal kwa miaka minne akijaribu kuwashawishi asajiliwe mara zote alizocheza dhidi yao.
CHAN 2024: Appiah anavyowapa tabasamu Wasudani KOCHA wa timu ya taifa la Sudan, James Kwesi Appiah ambaye kesho, Jumanne ataongoza kikosi hicho kucheza mechi ya nusu fainali ya mashindano ya CHAN dhidi ya Madagascar, ameweka historia kwenye...
Real Madrid ilitunga sheria ya Mbappe, Dar itunge ya Fei FEISAL Salum ‘Fei Toto’ amesaini mkataba wa kuendelea kuitumikia Azam FC hadi 2027. Awali mkataba wake ulitakiwa kumalizika 2026. Katika mkataba mpya, mshahara wake wa mwaka utakuwa Sh960 milioni...
CHAN 2024: Makocha Kenya wakubali kiwango KOCHA wa timu ya Tusker, Charles Okere na wa City Stars, Salim Babu pamoja na yule wa Bidco, Anthony Akhulia wamesema kuwa kiwango cha Harambee Stars katika michuano ya mataifa ya Afrika kwa...
Simba kuwaaga Bocco, Mkude Simba Day Simba imefichua kuwa nahodha wake wa zamani, John Bocco ‘Adebayor’ amestaafu rasmi kucheza soka la ushindani na itamuaga katika siku ya kilele cha Tamasha la Simba Day, Septemba 10, 2025.