Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8113 results for Mwandishi Wetu :

  1. Mashabiki Man United wakinukisha

    KIMENUKA. Ndicho unachoweza kusema baada ya mashabiki wa Manchester United kuripotiwa kutoa maoni ya kutaka kocha Ruben Amorim afutwe kazi kwa kitendo chake cha kumfanya kiungo Kobbie Mainoo kuwa...

    KIMENUKA Pict
  2. PRIME Yanga, Aucho kuna kitu kinaendelea

    Aucho ulitokana na namna alivyocheza msimu uliomalizika. Kuna wakati tulimkosa ilituumiza kutokana na majeraha. Hakuna shida kati ya Yanga na Aucho ndio maana mliona hata rais wetu (Hersi...

    AUCHO Pict
  3. TEAM MONEY: Kikosi cha Kwanza cha wanaolipwa mshahara mkubwa 2025-26

    MIAMBA ya soka ya Hispania, Real Madrid inatawala soka la Ulaya kwenye kikosi cha kwanza cha mastaa wanaolipwa mishahara mikubwa zaidi msimu huu wa 2025-26, lakini timu hiyo ina majina ya...

    MONEY Pict
  4. Tatu za England zaendelea kumgombania Rodrygo

    MANCHESTER City, Arsenal na Liverpool zinavutiwa na winga wa Real Madrid, Rodrygo Goes, 24, lakini hadi sasa hazijawasilisha ofa.

    FUNUNU Pict
  5. Huyo Cristiano Ronaldo ni mabao tu

    SUPASTAA, Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya soka kufunga mabao 100 au zaidi katika klabu nne tofauti, lakini bado ameshindwa kuisaidia timu yake kubeba taji la Saudi...

    RONALDO Pict
  6. Eberechi Eze afichua siri Arsenal

    STAA Eberechi Eze amefichua ni kama alikuwa kwenye majaribio kikosi cha Arsenal kwa miaka minne akijaribu kuwashawishi asajiliwe mara zote alizocheza dhidi yao.

    EZE Pict
  7. CHAN 2024: Appiah anavyowapa tabasamu Wasudani

    KOCHA wa timu ya taifa la Sudan, James Kwesi Appiah ambaye kesho, Jumanne ataongoza kikosi hicho kucheza mechi ya nusu fainali ya mashindano ya CHAN dhidi ya Madagascar, ameweka historia kwenye...

    APIAH Pict
  8. Real Madrid ilitunga sheria ya Mbappe, Dar itunge ya Fei

    FEISAL Salum ‘Fei Toto’ amesaini mkataba wa kuendelea kuitumikia Azam FC hadi 2027. Awali mkataba wake ulitakiwa kumalizika 2026. Katika mkataba mpya, mshahara wake wa mwaka utakuwa Sh960 milioni...

    FEI Pict
  9. CHAN 2024: Makocha Kenya wakubali kiwango

    KOCHA wa timu ya Tusker, Charles Okere na wa City Stars, Salim Babu pamoja na yule wa Bidco, Anthony Akhulia wamesema kuwa kiwango cha Harambee Stars katika michuano ya mataifa ya Afrika kwa...

    MAKOCHA Pict
  10. Simba kuwaaga Bocco, Mkude Simba Day

    Simba imefichua kuwa nahodha wake wa zamani, John Bocco ‘Adebayor’ amestaafu rasmi kucheza soka la ushindani na itamuaga katika siku ya kilele cha Tamasha la Simba Day, Septemba 10, 2025.

Previous

Page 365 of 812

Next