PRIME Sowah, Camara wana siku 18 ngumu Simba KIKOSI cha Simba kinarudi tena katika kambi ya mazoezi kuanzia leo Jumatatu, ikiwa ni saa chache tangu irejee kutoka kambini jijini Cairo, Misri ilikokuwa kwa muda wa mwezi mmoja ikijifua na...
Mbwana Samatta mdogo mdogo Ligue 1 NAHODHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ameendelea kuizoea Ligi Kuu ya Ufaransa, baada ya usiku timu anayoichezea ya Le Havre kupata ushindi wa kwanza wa mabao 3-1 dhidi ya Nice.yo...
Tanzania ya pili Kombe la Dunia la vijana wa mazingira magumu Timu ya Tanzania ya Wanawake kutoka kituo cha Future Stars Academy cha jijini Arusha, imeshika nafasi ya pili katika michuano ya vijana wanaotoka kwenye mazingira magumu (Homeless World Cup)...
Man City yapigwa tena, West Ham safi MANCHESTER, ENGLAND: Manchester City imeendelea kuwa na matokeo mabaya kwenye Ligi Kuu England, Premier League baada ya kulala kwa mabao 2-1 dhidi ya Brighton. City imepoteza michezo miwili kati...
Spurs yaitibulia AC Milan dili la Akanji TOTTENHAM Hotspur inaongoza katika vita ya kuiwania saini ya beki wa Manchester City, Manuel Akanji, 30, katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Skauti Liverpool afunguka dili la Guehi SKAUTI wa Liverpool, Stewart Downin ambaye kazi yake ni kutambua na kupendekeza wachezaji ameweka wazi kwamba beki wa Crystal Palace Marc Guehi ambaye anahitajika na Liverpool anasajiliwa kwa...
Fenerbahce yatua kwa Ederson, Donnarumma kicheko KWA mujibu wa ripoti, klabu ya Fenerbahce ya Uturuki sasa ipo katika mazungumzo ya kumsajili kipa wa Manchester City, Ederson hali inayoliweka hai dili la Gianluigi Donnarumma kutua jijini...
Kina Mayele wamtibulia aliyeikacha Yanga USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata Pyramids dhidi ya Al Ahly, umetibua mambo katika klabu hiyo mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa moto unawaka huku anayesakwa ni aliyeikataa...
Mukwala, Aucho upepo umebadilika, warejeshwa The Cranes SIKU tatu tu tangu kikosi cha timu ya taifa ya Uganda The Cranes kutangwazwa huku majina ya nyota wa zamani wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala kutojumuishwa upepo...
Ruto awapongeza, awazawadia wanamichezo Kenya RAIS wa Kenya, William Ruto amewapongeza na kuwapa zawadi za heshima wachezaji wa timu ya Harambee Stars iliyshiriki michuano ya CHAN 2024 na wanamichezo wengine akiwahakikishia mazingira bora...