Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8062 results for Mwandishi Wetu :

  1. Amorim achekelea kuondoka Onana

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anaamini kuondoka kwa kipa Andre Onana ni jambo muhimu sana katika mchakato wake wa kujenga upya kikosi.

  2. Arsenal yakaribia kuwapa mikataba Saliba, Saka

    ARSENAL ipo katika hatua za mwisho kwenye mazungumzo yake ya kuwaongeza mikataba, Bukayo Saka na William Saliba, wenye umri wa miaka 24 kila mmoja.

  3. Manchester derby... Wagonjwa Ni wengi!

    MAPUMZIKO ya mechi za kimataifa yanafika ukingoni na sasa mastaa wanarudi kujiunga na timu zao za klabu kwa ajili ya kuendelea na mchakamchaka wa ligi ikiwamo Ligi Kuu England.

    WAGONJWA Pict
  4. Man Utd mpo? Haaland ana meseji yenu huko!

    STRAIKA Erling Haaland atuma ujumbe mzito kwa Manchester United kwa ajili ya kipute cha Manchester derby Jumapili baada ya kufunga mabao matano wakati Norway ilipoangusha kipigo kizito kwa...

    HAALAND Pict
  5. Martinelli afurahia ushindani Arsenal

    WINGA wa Arsenal, Gabriel Martinelli amesema tena kwa msisitizo kwamba anafurahia ushindani wa namba uliopo kwenye kikosi hicho na yupo tayari kwa mapambano licha ya kuwapo na taarifa za kwamba...

    MARTINELI Pict
  6. Szoboszlai amsubiri CR7 ampe jezi, kapewa mwingine

    SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameshindwa kubadilishana jezi na Dominik Szoboszlai baada ya mechi iliyokutanisha timu zao Ureno na Hungary kwenye mchakamchaka wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia...

    CR Pict
  7. Duchu apewa mikoba ya Tshabalala Simba

    BAADA ya Mohamed Hussein 'Tshabalala' kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta 'Duchu'.

    DUCHU Pict
  8. Arsenal kusikilizia ofa za Trossard, Gabriel Jesus

    ARSENAL ipo tayari kupokea ofa za kuwauza mastaa wake akiwamo mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Gabriel Jesus, 28 (pichani) na winga wa Ubelgiji, Leandro Trossard, 30, katika dirisha lijalo la...

    FUNUNU Pict
  9. Ancelotti achimba mkwara Brazil

    KOCHA, Carlo Ancelotti ameahidi kwamba Brazil itawasha moto kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufuzu michuano hiyo kwa rekodi mbaya.

    ANCELOTTI Pict
  10. Harry Kane: Levy?  Hii sio poa

    STRAIKA, Harry Kane amesifu kazi bora kabisa iliyofanywa na Daniel Levy kwenye kikosi cha Tottenham Hotspur baada ya bosi huyo kung'oka kwenye kikosi hicho cha London.

    KANE Pict
Previous

Page 343 of 807

Next