Amorim achekelea kuondoka Onana KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anaamini kuondoka kwa kipa Andre Onana ni jambo muhimu sana katika mchakato wake wa kujenga upya kikosi.
Arsenal yakaribia kuwapa mikataba Saliba, Saka ARSENAL ipo katika hatua za mwisho kwenye mazungumzo yake ya kuwaongeza mikataba, Bukayo Saka na William Saliba, wenye umri wa miaka 24 kila mmoja.
Manchester derby... Wagonjwa Ni wengi! MAPUMZIKO ya mechi za kimataifa yanafika ukingoni na sasa mastaa wanarudi kujiunga na timu zao za klabu kwa ajili ya kuendelea na mchakamchaka wa ligi ikiwamo Ligi Kuu England.
Man Utd mpo? Haaland ana meseji yenu huko! STRAIKA Erling Haaland atuma ujumbe mzito kwa Manchester United kwa ajili ya kipute cha Manchester derby Jumapili baada ya kufunga mabao matano wakati Norway ilipoangusha kipigo kizito kwa...
Martinelli afurahia ushindani Arsenal WINGA wa Arsenal, Gabriel Martinelli amesema tena kwa msisitizo kwamba anafurahia ushindani wa namba uliopo kwenye kikosi hicho na yupo tayari kwa mapambano licha ya kuwapo na taarifa za kwamba...
Szoboszlai amsubiri CR7 ampe jezi, kapewa mwingine SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameshindwa kubadilishana jezi na Dominik Szoboszlai baada ya mechi iliyokutanisha timu zao Ureno na Hungary kwenye mchakamchaka wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia...
Duchu apewa mikoba ya Tshabalala Simba BAADA ya Mohamed Hussein 'Tshabalala' kuondoka Simba, timu aliyoitumikia kwa takribani miaka kumi, sasa kuelekea msimu wa 2025-2026, mikoba yake ipo kwa David Kameta 'Duchu'.
Arsenal kusikilizia ofa za Trossard, Gabriel Jesus ARSENAL ipo tayari kupokea ofa za kuwauza mastaa wake akiwamo mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Gabriel Jesus, 28 (pichani) na winga wa Ubelgiji, Leandro Trossard, 30, katika dirisha lijalo la...
Ancelotti achimba mkwara Brazil KOCHA, Carlo Ancelotti ameahidi kwamba Brazil itawasha moto kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufuzu michuano hiyo kwa rekodi mbaya.
Harry Kane: Levy? Hii sio poa STRAIKA, Harry Kane amesifu kazi bora kabisa iliyofanywa na Daniel Levy kwenye kikosi cha Tottenham Hotspur baada ya bosi huyo kung'oka kwenye kikosi hicho cha London.