Onana apokewa kwa shangwe Uturuki Kipa, Andre Onana ataongeza mshahara wake mara mbili huko Trabzonspor baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo wa msimu mzima na kuyapa kisogo maisha magumu Manchester United.
Mkataba unamsubiri Silva Benfica MGOMBEA urais wa Benfica, Joao Noronha Lopes, ameweka wazi mpango wake mkubwa wa kumrejesha Bernardo Silva katika klabu yake ya utotoni akitokea Manchester City.
Isak wa Liverpool ana balaa BAADA ya kuachiwa kwa video ya siku ya mshambuliaji mpya wa Liverpool, Alexander Isak, akifanya mazoezi na timu, mashabiki wengi wamekoshwa na kile ambacho staa huyo amekionyesha kiasi cha baadhi...
Kumbe Raha za Yamal zingekuwa Bayern sasa INAWEZEKANA akawa ndio mchezaji anayependwa sana na mashabiki wa Barcelona kwa sasa, lakini Lamine Yamal alikuwa karibu kutimkia kwa vigogo wengine barani Ulaya kabla ya dili kufeli na kusalia...
Kocha England hacheki na wowote KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel ameahidi kuendelea kuwachukua wachezaji wanaoonyesha kiwango bora tu na hatojali hata kama ataacha kuwachezesha au kuwaita wachezaji wenye majina...
Amorim achekelea kuondoka Onana KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anaamini kuondoka kwa kipa Andre Onana ni jambo muhimu sana katika mchakato wake wa kujenga upya kikosi.
Arsenal yakaribia kuwapa mikataba Saliba, Saka ARSENAL ipo katika hatua za mwisho kwenye mazungumzo yake ya kuwaongeza mikataba, Bukayo Saka na William Saliba, wenye umri wa miaka 24 kila mmoja.
Manchester derby... Wagonjwa Ni wengi! MAPUMZIKO ya mechi za kimataifa yanafika ukingoni na sasa mastaa wanarudi kujiunga na timu zao za klabu kwa ajili ya kuendelea na mchakamchaka wa ligi ikiwamo Ligi Kuu England.
Man Utd mpo? Haaland ana meseji yenu huko! STRAIKA Erling Haaland atuma ujumbe mzito kwa Manchester United kwa ajili ya kipute cha Manchester derby Jumapili baada ya kufunga mabao matano wakati Norway ilipoangusha kipigo kizito kwa...
Martinelli afurahia ushindani Arsenal WINGA wa Arsenal, Gabriel Martinelli amesema tena kwa msisitizo kwamba anafurahia ushindani wa namba uliopo kwenye kikosi hicho na yupo tayari kwa mapambano licha ya kuwapo na taarifa za kwamba...