Simeone afunguka sababu ya kumvaa shabiki KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone amefichua kwa nini aligombana na shabiki wa Liverpool baada ya Atletico Madrid kupoteza Anfield katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi, Jumatano.
Mourinho, Benfica bado kidogo tu KOCHA Mreno, Jose Mourinho awasili Ureno kwa ajili ya kumalizia mazungumzo ya kusaini mkataba wa kuitumikia Benfica.
Taifa Stars yaanguka nafasi nne viwango FIFA Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanguka kwa nafasi nne katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) vilivyotangazwa leo, Septemba 18, 2025.
Kobbie Mainoo anukia Newcastle United NEWCASTLE United inapanga kuwasilisha ofa katika dirisha lijalo la majira ya baridi mwakani ili kumsajili kiungo wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Kobbie Mainoo, 20, ikiwa...
Arteta achekea sub zake Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kwa msisitizo kwamba Gabriel Martinelli na Leandro Trossard watalazimika kuzoea maisha ya kuanzia benchini na kuingia uwanjani kama “super subs” kuliko...
Partey ashinda kesi ya kubaka KIUNGO wa zamani wa Arsenal, Thomas Partey hana hatia katika mashtaka yaliyokuwa yakimkabili ya kubaka na kufanya unyanyasaji.
Trent aanza kwa mkosi Madrid : BEKI Trent Alexander-Arnold ameanza vibaya maisha kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa na Real Madrid baada ya kuumia dakika ya tano na kushindwa kuendelea na mchezo.
Abidal aibuka kudai hajafa BEKI wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Ufaransa, Eric Abidal amelazimika kutoka hadharani kukanusha taarifa zinazozagaa mitandaoni kwamba amefariki dunia.
Slot: Huyu Isak kuna kitu bado KOCHA Mkuu wa Liverpool, Arne Slot amekiri mchezaji ghali Uingereza, Alexander Isak hayupo kwenye viwango vya kutosha kuanzishwa kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Wachezaji Man United wamemchoka Amorim KIMENUKA. Lisemwalo ni kwamba mastaa wa Manchester United wamepoteza imani na kocha Ruben Amorim.