Joto la El Clasico, vipimo kuamua hatma ya Jules Kounde Mabingwa wa Hispania, FC Barcelona, huenda wakamkosa beki wa pembeni kutoka Ufaransa, Jules Kounde, kwenye mechi ya El Clasico, itakayopigwa kesho Jumapili, Oktoba 26, 2025 kwenye Uwanja wa...
Infantino aihakikishia timu ya taifa ya Iran kuingia Marekani Wachezaji wa zamani wa Reading FC na Hull City, Saeed Ezatolahi na Allahyar Sayyadmanesh, wataweza kuichezea Iran katika fainali za Kombe la Dunia la 2026, endapo wataitwa kwenye kikosi cha nchi...
Mnigeria aing'oa Polisi Kenya, tumaini limebaki kwa Nairobi United MABAO mawili yaliyowekwa kimiani na straika Mnigeria, Sunday Adetunji anayekipiga Al Hilal ya Sudan yametosha kuing'oa Polisi Kenya katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Pauni 57 milioni kumng’oa Bruno Old Trafford, mwenyewe atia neno Imefahamika kuwa, kiungo na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, huenda akaondoka kwenye klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu kwa dau la Pauni 57 milioni.
Matokeo ya mechi za bure Yanga katika CAF YANGA jioni ya leo Jumamosi inashuka Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kurudiana na Silver Strikers ya Malawi katika mechi ya raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
El Clasico ya kivingine itapigwa Estadio Santiago Bernabeu HAKUNA kitu kinachobamba mashabiki kama El Clasico. Mara zote kinapopigwa kipute cha Real Madrid na Barcelona, macho na masikio ya mashabiki wa soka duniani kote, vyote vinaelezwa mahali...
Arsenal, Manchester City kazi inaendelea EPL KWENYE msimamo wa Ligi Kuu England unavyosoma, Arsenal imeketi kileleni kwa tofauti ya pointi tatu baada ya kukusanya pointi 19 katika mechi nane, ambapo imeshinda sita, sare moja na kuchapwa moja.
Bruno afikiria kuchapa lapa Manchester Utd NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes ameripotiwa kufikiria mpango wa kuachana na miamba ya Old Trafford kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Msako wamkata umeme unaendelea Old Trafford! MANCHESTER United itaweka kipaumbele chake kwenye kuboresha sehemu ya kiungo wakati itakapoingia sokoni dirisha lijalo la usajili, huku masupastaa Carlos Baleba na Conor Gallagher wametajwa kuwa...
Kocha Liverpool afichua udhaifu wa kikosi chake KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amefunguka udhaifu wa kikosi chake kinachofanya timu hiyo kutaabika kwenye baadhi ya mechi za msimu huu.