Baada ya ubingwa wa StanChart Nairobi, Chepkorir azitolea macho mbio za dunia Bingwa mpya wa mbio za wanawake za kilomita 42 katika Marathon ya Standard Chartered Nairobi, Hellen Chepkorir kutoka Kapsabet, anaamini mafanikio yake ya hivi karibuni yatafungua milango ya...
Samatta dakika 519 bado mambo magumu Ufaransa NYOTA wa kimataifa na nahodha wa timu ya taifa, Mbwana Samatta jana Jumapili alitimiza jumla ya dakika 519 kupitia mechi nane za Ligi Kuu ya Ufaransa bila ya kufunga bao.
Nairobi United yaandika historia, yaitupa nje Etoile du Sahel ikitinga makundi Afrika KLABU ya Ligi Kuu ya Kenya, Nairobi United, imeandika historia baada ya kufuzu kwa mara ya kwanza kabisa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikiing'oa kwa penalti mabingwa wa zamani wa...
Hongera Tanzania kwa rekodi CAF, tusilale Kwa mara ya kwanza katika historia ya soka la Tanzania Bara, timu zote nne zilizoiwakilisha nchi katika mashindano ya klabu ya Afrika zimefuzu hatua ya makundi.
Salman Khan anazidi kuzikusanya tu MWANZONI mwa mwaka huu, jina la nyota mkubwa wa Bollywood, Salman Khan, lilirudi tena kwenye vichwa vya habari baada ya kuachia filamu mpya ya Sikandar chini ya kampuni yake ya Salman Khan Films...
Bellingham, Mbappe wailiza Barca El Clásico MADRID, HISPANIA: JUDE Bellingham amefunga na kutoa pasi ya bao kwa mara ya kwanza msimu huu wa La Liga wakati Real Madrid ikiibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Barcelona katika mechi ya El Clásico...
Kisa umaarufu, McTominay ataka kurudi England KIUNGO wa Napoli na timu ya taifa ya Scottland, Scott McTominay inadaiwa anaweza kurejea Ligi Kuu England mwakani kutokana na changamoto nyingi anazopitia nje ya Uwanja zinazosababishwa na...
Jobe Bellingham atua anga za Man United MANCHESTER United inafikiria kumsajili kwa mkopo katika dirisha lijalo la usajili kiungo wa Borussia Dortmund, Jobe Bellingham, mwenye umri wa miaka 20.
Kocha Chelsea ageuka ‘Mbogo’, akemea mabeki wake WAMEZINGUA. Kocha wa Chelsea, Enzo Maresca amewakemea vikali wachezaji wake wa safu ya beki baada ya kushindwa kucheza vizuri dakika za mwisho na kusababisha kupoteza mechi dhidi ya Sunderland...
Slot: Hii haijawahi kutokea hapa Liverpool BAADA ya kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Brentford jana Jumamosi, Oktoba 25, Kocha wa Liverpool, Arne Slot amefunguka mechi hiyo ndiyo ilikuwa ya kwanza kwa wachezaji wake kucheza vibaya zaidi...