Kisa Liverpool, Enzo Maresca arusha taulo mapema KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema kiwango ambacho Liverpool imekionyesha katika mechi tano za mwanzo za msimu huu kinaonyesha kuwa ni ngumu kuwafikia wapinzani wao hao na wana nafasi kubwa...
Hili la mpira rasmi wa Ligi, tunaipongeza TFF Shirikisho la Soka nchini (TFF) na Bodi ya Ligi Kuu Bara, zimeandika historia mpya katika maendeleo ya soka nchini kwa kuzindua rasmi mpira maalumu utakatumika katika Ligi Kuu Bara msimu wa 2025/26.
Marc Guehi aipa nafasi ya upendeleo Liverpool BEKI kisiki wa Crystal Palace, Marc Guehi, 25, atakuwa tayari kujiunga na Liverpool ikiwa itawasilisha ofa dirisha lijalo badala ya kusubiria mwisho wa msimu.
Katibu mkuu mpya TFF anukia, Kidao akichomoka NDANI ya siku sita kutoka leo, wakati wowote Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), linaweza kuingia kwenye hatua kubwa ya mabadiliko kwa kuteuliwa katibu mkuu mpya.
Mayweather, Tyson kuzichapa MABONDIA maarufu wa ngumi za uzito wa juu duniani, Floyd Mayweather na Mike Tyson wanatarajiwa kuzichapa katika pambano la ndoto zao ambalo litakuwa la maonyesho, huku kila mmoja akianza tambo.
Madueke pigo lingine Arsenal WINGA wa Arsenal, Noni Madueke anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa takriban miezi miwili kutokana na jeraha la goti alilopata dhidi ya Manchester City.
Erling Haaland atishiwa kuuawa MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland amedai kupokea vitisho vya kuuawa baada ya kufunga bao katika sare ya 1-1 dhidi ya Arsenal.
Messi alivyokaribia kutunyima chozi la Dembele KATIKA ukumbi wa Theatre du Chatelet mwanamama mrembo Fatimata Dembele usiku wa juzi Jumatatu, Septemba 22, alikuwa akiyaogesha mashavu yake kwa machozi ya furaha.
Makocha wazawa waichunia Simba Wakati uongozi wa Simba ukianza kupokea maombi na wasifu wa makocha mbalimbali kwa ajili ya kumrithi Kocha Mkuu, Fadlu Davids aliyeamua kutimkia Raja Casablanca, hadi sasa hakuna kocha mzawa...
Babake Yamal asema Dembele hakustahili Ballon d’Or BABA mzazi wa winga wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania, Lamine Yamal amesema mchezaji sahihi hakuwa ameshinda tuzo ya Ballon d’Or baada ya Ousmane Dembele kushinda, akisisiza kwamba "kitu...