Ghafla hadithi ya Vinicius imebadilika SIKU kadhaa zilizopita, mtoto wa mzee Jose Paixao, Vinicius Jose Paixao de Oliveira Junior ‘Vinicius Jr’, aliyekuwa akishindania tuzo ya Ballon D’or mwaka jana dhidi ya Rodri, mchezaji aliyekuwa...
Bayern yajipanga kumpa mkataba Nicolas Jackson BAYERN Munich inajiandaa kumpa mkataba mpya wa muda mrefu mshambuliaji wao wa kimataifa wa Senegal, Nicolas Jackson, 24, ambaye kwa sasa anacheza kwa mkopo katika timu yao akitokea Chelsea.
Kisa Israel, Uefa, FIFA vichwa vinauma UEFA na FIFA wako kwenye mtifuano mkubwa kuhusu uamuzi wa kuifungia Israel kushiriki Kombe la Dunia lijalo litakalopigwa Amerika ya Kaskazini.
Cole Palmer nje wiki mbili KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amethibitisha staa wa timu hiyo, Cole Palmer atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili hadi tatu.
'ADIOS' Busquets aaga, kustaafu soka KIUNGO wa zamani wa Barcelona ambaye kwa sasa anaichezea Inter Miami, Sergio Busquets ametangaza kustaafu soka mwishoni mwa msimu huu akiwa na umri wa miaka 37.
Liverpool yaonyesha uungwana kwa familia ya Jota KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amethibitisha kuwa timu yake imeilipa famila ya Diogo Jota kiasi chote cha mshahara na bonasi za mkataba, ambazo alitakiwa kukipata.
Mashabiki Simba waibeba adhabu ya CAF Wakati ikijiandaa kucheza bila mashabiki katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Jumapili, Septemba, 29, 2025 na faini ya Dola 50,000 (Sh123 milioni), Simba...
Wawakikishi wetu CAF malizeni kazi nyumbani WIKIENDI hii mashabiki wa soka la Tanzania Bara na Zanzibar wanatarajia kwa hamu kuona klabu zao zikikamilisha kazi katika mechi za marudiano za mashindano ya CAF.
Neville atuma ujumbe kwa Mikel Arteta LEJENDI wa Manchester United na mchambuzi wa soka, Gary Neville amedai kwamba Mikel Arteta atajutia kutokubali kwamba ana woga katika kushambulia jambo ambalo lilionekana katika mechi iliyopita...