Sare zatawala Ligi Kuu, Mtibwa hali mbaya JKT Tanzania ikiwa nyumbani imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya KMC kwenye mchezo mkali na wa kuvutiwa uliopigwa Uwanja wa Meja Isamhuyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu MECHI...
Majimaji waingilia mlango wa nyuma Wachezaji wa Majimaji FC ya mjini hapa wameingia uwanjani kwa kupitia mlango wa nyuma jambo linaloaminiwa kuwa linahusiana na imani za kishirikina.
Nyota wa Simba aanika utajiri wake Asema licha ya kucheza soka pia anajishughulisha na miradi mingine.
Chriss amtunuku Kurrueche MUDA mfupi baada ya kuzagaa uvumi wa kuachana na kurudiana, mwanamuziki Chris Brown amempatia zawadi ya pete ya thamani mpenzi wake Kurrueche.
Frank Sanga: Safari yangu ya miaka 10 na Mwanaspoti nifike ofisini kwake katika ofisi za MCL zilizokuwa Jengo la CCM Mkoa, ghorofa ya nane barabaraba ya Lumumba jijini Dar es Salaam. Kabla sijakata simu, akaniambia kuwa wanatafuta mtu ambaye...
Matajiri Saudia kumrudisha Klopp kazini KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp anadaiwa kuwa katika mazungumzo na Al-Ittihad ya Saudi Arabia ambayo inatafuta kocha kwa sasa.
Ferooz hana fedha, ila uzoefu UNAFAHAMU kwamba staa wa wimbo bora zaidi wa Ukimwi wa Starehe, Feruzi Mrisho ‘Ferooz’ ana kundi la muziki lenye wasanii zaidi ya watano? Habari ndiyo hiyo. Kundi analoliongoza Ferooz linaitwa...
Xavi atimuliwa Barca, Milan yamtema Pioli Klabu ya Barcelona imemtimua kocha wake Xavi Hernandez baada ya kudumu klabu hapo kwa miaka mitatu.
Duh! Mtoto wa Totti astaafu soka MTOTO wa gwiji wa Italia na AS Roma, Francesco Totti amestaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 19.