Chriss amtunuku Kurrueche MUDA mfupi baada ya kuzagaa uvumi wa kuachana na kurudiana, mwanamuziki Chris Brown amempatia zawadi ya pete ya thamani mpenzi wake Kurrueche.
Matajiri Saudia kumrudisha Klopp kazini KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp anadaiwa kuwa katika mazungumzo na Al-Ittihad ya Saudi Arabia ambayo inatafuta kocha kwa sasa.
Ferooz hana fedha, ila uzoefu UNAFAHAMU kwamba staa wa wimbo bora zaidi wa Ukimwi wa Starehe, Feruzi Mrisho ‘Ferooz’ ana kundi la muziki lenye wasanii zaidi ya watano? Habari ndiyo hiyo. Kundi analoliongoza Ferooz linaitwa...
Xavi atimuliwa Barca, Milan yamtema Pioli Klabu ya Barcelona imemtimua kocha wake Xavi Hernandez baada ya kudumu klabu hapo kwa miaka mitatu.
Duh! Mtoto wa Totti astaafu soka MTOTO wa gwiji wa Italia na AS Roma, Francesco Totti amestaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 19.
Simba kama imebipu namba 28 ya Manula MABOSI wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba ni kama jana Alhamisi ilibifu juu ya namba 28 ya kipa Aishi Manula baada ya kumtambulishia kipa mpya wa timu hiyo, Moussa Camara kabla ya pambano...
Apple Music yawaunganisha Vanillah, Burna Boy, Rema MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Vanillah amepata shavu katika Kampuni ya kimataifa ya Apple Music ambapo ameingia katika mpango wao wa kushirikishwa na wasanii wengi wa kimataifa akiwamo Burna Boy na...
Waziri Ndumbaro alifanya utani ishu ya pasipoti mechi ya Yanga, Mamelodi , 2024 akizungumza na wahariri na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita ndani ya miaka mitatu. “Alichozungumza Waziri alikuwa anahamasisha uzalendo wa timu zetu na...
Ronaldo, Messi ni washikaji, ila lao moja- 3 KATIKA toleo lililopita mwandishi, Luca Caioli aligusia kauli za makocha wawili maarufu, Sir Alex Ferguson na Carlo Ancelotti, wote walionekana kumkubali Ronaldo wakidai kuwa ni zaidi ya...
UBABE TU:Pep arithi kikosi cha Kocha Jupp Heynckes, atamba TOLEO lililopita kwenye kitabu cha Pep Confidential, mwandishi Marti Perarnau aliendelea kuzungumza na watu mbalimbali wanaomjua Kocha Pep Guardiola akiwamo Alexis Menuge, ripota wa gazeti...