Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Liuzio afunguka utajiri wake

Muktasari:

Mwandishi alifanya naye mazungumzo na kufunguka kuhusu ukweli wa mali zake kadhaa alizonazo baada ya kumkuta akiwa kwenye bajaji. Alipoulizwa kulikoni, akawa hana namna akafunguka ukweli wote kwamba ana bajaji.

Dar es Salaam. Staa wa Simba, Juma Liuzio kumbe pamoja na kuupiga mpira mwingi uwanjani, pia nje ya uwanja mambo yake siyo mchezo kabisa.
Mwandishi alifanya naye mazungumzo na kufunguka kuhusu ukweli wa mali zake kadhaa alizonazo baada ya kumkuta akiwa kwenye bajaji. Alipoulizwa kulikoni, akawa hana namna akafunguka ukweli wote kwamba ana bajaji.
Alisema pia, anazo pikipiki mbili za kukodisha maarufu kama bodaboda, zinamwingizia hesabu kila siku mbali na ile gari yake ya kutembelea aina ya Toyota  IST.