Carlo ampa Neymar tumaini la mwisho KOCHA wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti amempa Neymar Jr matumaini ya kurejea katika timu ya taifa baada ya kumjumuisha kwenye kikosi cha awali cha wachezaji 55 kwa ajili ya Kombe la...
Amorim akataa kazi Benfica, ampa ‘ulaji’ Marco Silva KITENDO cha Ruben Amorim kukataa ofa ya kuinoa Benfica ya Ureno, imempa nafasi kocha wa Fulham, Marco Silva, kuchukua dili hilo.
Mwanamuziki Defao afariki dunia Mwanamuziki wa Rhumba, Le General Defao Matumona amefariki dunia jana jioni Jumatatu Desemba 27, 2021 jijini Doula nchini Cameroon.
Kanoni matizi mwanzo mwisho BEKI wa Kulia wa Simba amesema yuko fiti sana sasa kutokana na mazoezi makali anayofanya na kuongeza juhudi kila mara.
NO AGENDA: Irene Uwoya, waandishi wa sandakalawe ambavyo hupewa pesa hutafsiriwa kuwa sehemu ya burudani. Kwamba, shabiki anakunwa na kazi inayofanywa na msanii au wasanii jukwaani, anakwenda kutoa tuzo ya fedha. Burudani inaongezeka hapo. Na...
Sare zatawala Ligi Kuu, Mtibwa hali mbaya JKT Tanzania ikiwa nyumbani imetoka sare ya bao 1-1 dhidi ya KMC kwenye mchezo mkali na wa kuvutiwa uliopigwa Uwanja wa Meja Isamhuyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu MECHI...
Frank Sanga: Safari yangu ya miaka 10 na Mwanaspoti nifike ofisini kwake katika ofisi za MCL zilizokuwa Jengo la CCM Mkoa, ghorofa ya nane barabaraba ya Lumumba jijini Dar es Salaam. Kabla sijakata simu, akaniambia kuwa wanatafuta mtu ambaye...
Majimaji waingilia mlango wa nyuma Wachezaji wa Majimaji FC ya mjini hapa wameingia uwanjani kwa kupitia mlango wa nyuma jambo linaloaminiwa kuwa linahusiana na imani za kishirikina.
Nyota wa Simba aanika utajiri wake Asema licha ya kucheza soka pia anajishughulisha na miradi mingine.