PRIME MTU WA MPIRA: Kwa Miquissone, hata Yanga wanatetemeka KWA mujibu wa vyanzo vyangu vya uhakika tayari Simba imemalizana na Luis Jose Miquissone. Nyota huyo raia wa Msumbiji atatangazwa Msimbazi muda wowote kuanzia sasa. Ni yule aliyewahi...
MTU WA MPIRA: Azam FC inahitaji mtu mwenye roho ‘katili’ TUNAFUNGA msimu mwingine wa Ligi Kuu Bara hivi karibuni. Ulikuwa msimu mzuri na wenye ushindani mkubwa. Inavutia sana. Hata hivyo ni mwaka wa 10 sasa tangu Azam FC ilipotwaa taji lake la kwanza...
AFL pamoto wikiendi hii... USIKU wa kuamkia leo Afrika na Dunia ilikuwa kwenye Uwanja wa Mkapa kushuhudia Simba ikikiwasha na Al Ahly katika ufunguzi wa michuano ya Africa Football League (AFL). Mechi ya jana imeacha...
PRIME Dube aigawa Simba, Yanga PRINCE Dube ameendelea kuzivuruga Simba na Yanga. Mashabiki wa klabu hiyo wamegawanyika kwa sasa baada ya kuibuka kwa taarifa nyota huyo aliyeigomea Azam FC, anatamani kuichezea Yanga, huku...
SCORPION STYLE: Zao la mbwembwe za Higuita uwanjani SEPTEMBA 6, 1995 England ilitoka suluhu (0-0) na Colombia katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Wembley.
Siri nyuma ya hat-trick za Kombe la Dunia KOMBE la Dunia lina vitu vyake buana na wanasema raha ya mechi bao! Zimekuwapo hat-trick 55 zilizofungwa katika michuano ya fainali hizo upande wa wanaume hadi ile ya jana iliyotupia na staa wa...