PRIME Jicho la tatu pingamizi la Yanga kwa Karia JUMAMOSI ya Juni 28, saa 9:30 alasiri, mabingwa wapya wa soka nchini, Yanga waliwasilisha pingamizi lao dhidi ya Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia likiwa limesainiwa na...
Fainali za Kombe la Dunia la Klabu zilivyoacha utamu FAINALI za Kombe la Dunia la Klabu zimehitimishwa kwa Chelsea kuichapa Paris Saint-Germain 3-0 na kubeba taji hilo kibabe.
PRIME Maswali tata zawadi za Yanga Kombe la FA UKIPITA mitaani kuanzia vijiwe vya kahawa, maskani za bodaboda, na hata katika daladala hadi mitandaoni, mjadala mkubwa ni mvutano uliopo baina ya Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) na Klabu ya...
Jinsi Arsenal itakavyoshinda ubingwa msimu huu MSIMU uliopita, Arsenal ilikaa kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu England kwa siku 248, muda mrefu zaidi kwa timu ambayo ilishindwa kubeba taji. Ikatibua kwenye mechi saba za mwisho, ambapo...
JIWE LA SIKU: Simba, Yanga nusu fainali CAFCL hii hapa Hizi ndizo mechi za kibabe na Simba, Yanga wote wamesisitiza wako tayari kukiwasha Kwa Mkapa maarufu kama Lupaso. Mechi za kuonyesha ukubwa wa Simba na Yanga katika anga la kimataifa. Mechi za...
RIPOTI MAALUMU: Kituko cha mipira mitatu Ligi Kuu BODI ya Ligi Tanzania (TPLB), imekuwa ikiboresha vitu mbalimbali ili kupata michezo yenye ushindani bila ya kujali inachezwa kwenye viwanja gani au timu zipi zinazokutana wakati huo.
Dili zote za usajili Ligi Kuu England dirisha la Januari, 2026 MKWANJA mrefu, Pauni 400 milioni zimetumiwa na klabu za Ligi Kuu England kwenye usajili wa dirisha la Januari 2026.
AJE ASIJE! Uchambuzi wa kocha mmoja mmoja wanaosakwa Man United SAFARI ya Thomas Tuchel kwenda Manchester United sasa imefikia mwisho.
FOBA: Salim, Mshery mbona suala la muda! ISSA Fofana, Aishi Manula na Zubeir Foba wanagawana dakika tu ndani ya Azam FC, wote wakiwa na lengo moja; kuhakikisha timu hiyo inafikia malengo iliyojiwekea.
Kuna jambo Morocco inayoendelea ilipoishia Kocha mpya Mohamed Ouahbi, ameendelea kusimamia maendeleo ya Morocco katika Kombe la Dunia, huku falsafa yake ya wazi na matumizi ya vipaji kutoka diaspora ikiweka msingi wa uwezekano wa kubadili...