Fury, Usyk waletewa ‘Bwa mdogo’ KAMA kawaida yao Waingereza wameanza kupigia kelele jambo lao, si unawajua walivyo wakiwa na la kuongea, sasa mdomoni mwao yupo Moses Itauma ambaye ni kati ya mabondia hatari ambao wanachipukia...
Ujio mpya wa Mr Money ngumi za kulipwa duniani FLOYD Mayweather Jr maarufu kama Mr Money, ameamua sasa kufanya kweli katika ulingo wa ngumi za kulipwa duniani, akifanya mazoezi ya ‘kufa mtu’ nyumbani kwake huko Las Vegas, Nevada, Marekani...
Geay, Dinday warejea kutoka Daegu Marathon WANARIADHA wa kimataifa wa Tanzania, Gabriel Geay, Emmanuel Dinday na Benard Geay, wamerejea nchini wakitokea Korea Kusini walikoshiriki mashindano ya Daegu Marathon yaliyofanyika Februari...
Utata pambano la Usyk, Verhoeven BARAZA la Ngumi Duniani (WBC), limeibua tena mjadala mkali kutokana na uamuzi wa kutatanisha walioutoa kuhusu pambano la uzito wa juu kati ya Oleksandr Usyk dhidi ya mpiganaji wa kickboxing, Rico...
Wacheza kamari wataja mastaa 18 wanaowania tuzo mchezaji bora England LIGI Kuu England imebakiza mechi zisizozidi tisa kufika tamati katika msimu huu wa 2025/26. Na wakati ligi hiyo ikitarajia kuelekea ukingoni, tayari kuna majina ya masupastaa 18 wanaopewa nafasi...
Kwa Terence Crawford… Changamoto imegeuka fursa TERENCE Crawford, kijana kutoka Omaha, Nebraska Marekani akiwa mtoto pekee wa Terence Sr na Debbie, ameamua kustaafu mchezo wa ngumi huku akiacha gumzo kubwa kutokana na historia ya maisha yake...
Afcon ilipogeuka kuwa sherehe ya mabao MASHINDANO ya soka ya kusaka ubingwa wa Afrika (AFCON) mara zote limekuwa jukwaa la mambo mengi ya kustaajabisha, ufundi na ustadi mkubwa katika soka la kushambulia na kushuhudia sherehe za mabao.
Utajinyima raha ukiacha kuwatazama hawa jamaa Afcon 2025 Morocco MASHINDANO ya 35 ya soka ya ubingwa wa Afrika (Afcon 2025) yataanza Morocco, Jumamosi hii huku fainali yake ikitarajia kufanyika jijini Rabat, Januari 18, 2026.
Ngoma nzito: Hapa Mkongomani, kule Saleh Karabaka LIGI Kuu Bara imesimama kupisha mechi za Kombe la Shirikisho (FA), lakini kama hujui ni kwamba hadi sasa zimeshachezwa mechi 102 kati ya 240, huku ikishuhudiwa mabao 185 kati ya 188 yakitinga...
Wewe ni mchezaji unayefunga swaumu, soma hapa! KWA mara nyingine, waumini wa dini ya Kiislam na Kikristo wameingia katika kipindi muhimu cha ibada ya kufunga kama wanavyohimizwa na dini zao.