PRIME Siri nyuma ya Fei kusaini dili jipya Azam JUMANNE ya Agosti 12, 2025, nyota wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' alisaini mkataba wa nyongeza wa mwaka mmoja utakaomfanya asalie Chamazi hadi 2027. Ilikuwa ghafla sana kwa uongozi wa Azam...
MAGOFU: Viwanja hivi imebaki historia SOKA ni mchezo wenye historia ndefu. Viwanja vinavyotumika huwa ni sehemu ya alama ya historia hiyo ambapo watu hushuhudia furaha, huzuni na kumbukumbu zinazoishi milele.
Messi alivyokaribia kutunyima chozi la Dembele KATIKA ukumbi wa Theatre du Chatelet mwanamama mrembo Fatimata Dembele usiku wa juzi Jumatatu, Septemba 22, alikuwa akiyaogesha mashavu yake kwa machozi ya furaha.
Robert Matano: Ligi ya Tanzania unachoka kabla ya mechi UNAMKUMBUKA Kocha Robert Matano aliyeinoa Fountain Gate msimu uliopita? Sasa baada ya kuachana na timu hiyo amerejea nyumbani kwao Kenya na kutua KCB huku matumaini yakiwa ni kuipa taji la kwanza...
BAJANA ‘Nyani mzee’ aliyekwepa mishale mingi SAFARI ya Sospeter Bajana kwenye viunga vya Azam Complex imemalizika rasmi baada ya kuaga Alhamisi, Septemba 4 mwaka huu.
PRIME MZEE WA FACT: Afrika sasa iwe na dirisha moja la usajili Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alikuwa na ratiba ngumu sana mwishoni mwa Januari.
PRIME Sio Man City tu, hata hawa wengine walipigwa WIKIENDI iliyopita ilikuwa na mambo mengi kwenye Ligi Kuu England. Moja kati ya vitu vilivyotokea vilikuwa ni vipigo vikubwa vilivyotokea katika mechi mbili.