PRIME Yanga kurudia ya mwaka 1965 kwa kuigomea Dabi? Kiliwakuta hiki MECHI ya watani wa jadi, Yanga na Simba maarufu kama Dabi ya Kariakoo, imeota mbawa baada ya kuahirishwa na Bodi ya Ligi kwa sababu ya malalamiko ya Simba kuhusiana na sakata la kuzuiwa kufanya...
PRIME Nyepesi nyepesi za Dabi... Hii ndo mechi ya maajabu Dabi ya Kariakoo ZIMEPIGWA dabi kibao, nyingine zikiwa na matokeo ya kustaajabisha ikiwamo ile sare ya 4-4 ya jijini Arusha mwaka 1996, sare ya 3-3 kila timu ikifunga mabao yake kipindi kimoja, mbali na zile za...
Kipa Yanga, Simba auwawa akidhaniwa mhalifu WAKATI watani wa jadi wa soka la Bongo, Simba na Yanga, wakitarajiwa kushuka dimbani katika dabi inayonadiwa kwa kaulimbiu ya HAINA KIPENGELE, kuna taarifa mbaya na ya huzuni kwa nyota wa zamani...
Jeraha la Jalen litakavyobadili maisha Knicks NYOTA wa New York Knicks, Jalen Brunson anatarajiwa kukaa nje kwa wiki kadhaa baada ya kuumia kifundo cha mguu wakati wa muda wa nyongeza kwenye mchezo wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA) dhidi ya...
Victoria: Mke wa bosi na yeye ni bosi CHUKUA pesa za mke wa Wayne Rooney, Mrembo Coleen. Changanya na pesa za mke wa Jamie Vardy, mrembo Rebekah, weka pamoja. Unaambiwa hivi, bado hawamfikii na wameachwa kwa mbali sana.
PRIME Hizi hapa njia za Simba kumnasa Fei Toto MASHABIKI wa Simba wanasikilizia dili la kiungo wa Azam FC, Feisal Salum 'Fei Toto' kama litatiki au la, lakini presha yao ni suala la kuwepo kwa kipengele cha mkataba kati ya klabu hiyo ya...
PRIME Ulipo mtego wa wagombea uchaguzi mkuu TFF KALENDA ya Uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inaonyesha sasa tupo kwenye kipindi cha kuweka na kupokea pingamizi kwa wagombea, zoezi hilo limeanza Juni 26 na tamati yake...
PRIME Fei Toto wa 2024 sio huyu wa 2025 MWANZONI mwa mwezi Juni, timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ilifanya ziara maalumu Afrika Kusini. Ikiwa huko ilicheza mechi moja ya kirafiki dhidi ya wenyeji Afrika Kusini na ikashiriki...
Si mchezo... Afande Sele na mahari ya Sh5 milioni, ng’ombe SAFARI ya kukamilisha ndoto ya Mfalme wa Rhymes, rapa mkongwe, Seleman Msindi ‘Afande Sele’ ilianza wiki iliyopita Agosti 5, baada ya tukio la kipekee la kumvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa...
Chuma Daniel Levy kinavyoondoka Spurs BOSI kubwa Daniel Levy amelazimika kuachana na Tottenham Hotspur baada ya miaka 25 ya kuwa kiongozi kwenye kikosi hicho cha London.