ZILITRENDI: Yanga yamponza Kado KATIKA tarehe kama ya leo ya Machi 24, mwaka 2008 iliripotiwa stori juu ya kipa Shaaban Kado aliyekuwa akiidakia Moro United kuingia matatani na kusimamishwa na timu yake kutokana na mabao mawili...
ZILITRENDI: Mserbia acharukia uongozi wa Yanga TAREHE kama ya leo ya Machi 24, lakini mwaka 2008 iliripotiwa taarifa ya Kocha Msernia, Dusan Kondic kuucharukia uongozi wa Yanga kwa madai ya kufanya mambo bila ya taratibu hali inayosababisha...
ZILITRENDI: Wawili Simba wazuiwa Nigeria KAMA kawaida ya Alhamisi ukurasa huu, huwa unaangalia stori zilizobamba miaka ya nyuma, lakini katika tarehe husika na leo tunaenda hadi mwaka 2008. Katika tarehe kama ya leo yaani Machi 24 ya...
Onyango: Mkinipa Inonga wameumia BEKI kisiki wa Simba, Joash Onyango amewachambua Pascal Wawa na Henock Inonga kuwa wote ni wachezaji wazuri na kila mmoja ana mchango wake ndani ya Simba, huku akiweka wazi tofauti yao kuwa mmoja...
Moloko, Aucho waipa nguvu mpya Yanga Benchi la ufundi la Yanga limefurahishwa na kurejea kwa haraka kwa winga wake Jesus Moloko na nyota wengine waliokuwa majeruhi likiamini watakuwa msaada mkubwa katika mechi zilizosalia za Ligi...
Kisinda wa leo sio Moloko wala Lunyamila wa Yanga wakasema Onyango kazi iko palepale siku ya mechi baina ya timu hizo. Walijua Kisinda a.k.a Turbo angemkimbiza tena Onyango. Katika mchezo wa kwanza wa timu hizo kule Morocco, mashabiki wa...
Gor kupeleka raha FKF-PL Narok MABINGWA wa zamani Ligi Kuu Kenya, Gor Mahia, wamepeleka mchezo wao dhidi ya Wazito FC Uwanja wa Narok katika kaunti ya Narok. Mchezo huu awali ulikuwa upigwe jana Uwanja wa Moi jijini Kisumu...
Saido kuikosa KMC...Avuta jiko NYOTA wa Yanga, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ anatarajia kufunga ndoa Jumamosi, Machi 19 na mpenzi wake Uwera Samantha ‘Samira’.
Kim amwita Msuva kwa masharti KOCHA wa timu ya Taifa Tanzania, Kim Poulsen amemtaka mchezaji wake Simon Msuva kumaliza utata wake na klabu yake ya Wydad Casablanca ili arejee uwanjani. Msuva yupo nje ya uwanja baada ya kuwa...
RIPOTI MAALUM: Makocha wazawa wanafeli wapi? wengi hawataki kutoka Tanzania kwenda nje kwa kigezo cha maslahi. Ndani ya miaka ya hivi karibuni soka la Tanzania limeonekana kuwa sehemu inayolipa vizuri, kuliko mataifa yaliyotuzunguka ya...