PRIME MZEE WA FACT: Dharau za Carragher kwa AFCON ni muendelezo wa ukoloni Mlinzi wa zamani klabu ya Liverpool na timu ya taifa ya England, Jamie Carragher, ameonesha dharau kubwa kwa mashindano ya soka ya mataifa ya Afrika, AFCON.
PRIME Arsenal kwenye mitindo minne ya kijanja kuizima Real Madrid ARSENAL imejikuta kwenye janga jingine la majeruhi kwenye kikosi na bahati mbaya pengine jambo hilo limetokea kwenye kipindi kibaya zaidi.
NIONAVYO: Serengeti Boys iwashtue TFF, wadau TIMU ya taifa ya Tanzania ya wavulana chini ya umri wa miaka 17, maarufu kama Serengeti Boys, imetolewa mapema sana katika michuano ya Mataifa ya Afrika chini ya miaka 17 ambayo itafikia tamati...
Bila jasho Cristiano ronaldo, Messi wapo tu LIGI kubwa kibao duniani zinaelekea ukingoni ambapo mbali ya timu kupambana kuwania nafasi za juu na nyingine kukwepa kushuka daraja, tayari mipango ya kufanya vizuri msimu ujao imeshaanza.
Aaliyah katika ndoto za Ramos kumpata Pilar Misimu 16 ilimtosha Sergio Ramos, 39, kuitumikia Real Madrid akiwa beki wa kati. Ndoto nyingi kama mchezaji amezitimiza hapa, Santiago Bernabeu ilimpa kila kitu akishinda mataji yote ngazi ya...
Yanga yatangulia fainali FA, ikiizima JKT TZ kibabe WATETEZI wa michuano ya Kombe la Kombe la Shirikisho (FA), Yanga jioni ya leo Jumapili, imeizima JKT Tanzania kwa kuichapa mabao 2-0 katika mechi ya nusu fainali ya michuano hiyo na kutinga...
De Bruyne kwenye mjadala wa Gerrard, Lampard na Scholes KIUNGO fundi wa boli, Kevin De Bruyne ataachana na Manchester City mwishoni mwa msimu huu wa 2024-25, wakati mkataba wake utakapofika ukomo huko Etihad.
2025 ndani ya ngozi ya 2004 HUU ni sawa na ule mkasa wa chui ndani ya ngozi ya kondoo. Kwamba kwa nje anaonekana kondoo...mpole sana. Lakini kumbe kwa ndani ni chui...hatari sana.
Chelsea yatua kwa Xavi Simons, Leipzig yakaza LICHA ya Chelsea kutaka kumsajili kiungo wa kimataifa wa Uholanzi, Xavi Simons, mabosi wa RB Leipzig wamemjumuisha staa huyo katika kikosi chao kitakachoingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya...
Video ya ‘koneksheni’ yamtia matatani staa wa Real Madrid MADRID, HISPANIA: Raul Asencio wa Real Madrid anaweza kufungwa hadi miaka miwili na nusu jela huku waendesha mashtaka nchini Hispania wakitaka ahukumiwe kwa sakata la unyanyasaji wa kingono kwa...