Roma, Man United hakijaeleweka kwa Joshua Zirkzee MANCHESTER United na AS Roma ziko mbali sana kufikia makubaliano ya dili la mshambuliaji raia wa Uholanzi, Joshua Zirkzee, mwenye umri wa miaka 24.
Peterson ni Kobe Bryant mpya NBA? KATIKA miaka ya hivi karibuni, mpira wa kikapu wa Marekani umeendelea kuzalisha vipaji vipya vinavyovutia macho ya wengi, lakini wachache wamepata uzito kama ilivyo kwa Darryn Peterson, mwenye...
Majanga! Majeruhi sita Arsenal wazua hofu BEKI wa Arsenal, Gabriel Magalhaes ameungana na nyota wengine watano wa kikosi hicho waliotemwa na timu zao za taifa kwa kuhofiwa kuwa majeruhi.
Dusan Vlahovic aitamani FC Barcelona MSHAMBULIAJI wa Juventus na timu ya taifa ya Serbia, Dusan Vlahovic anatamani zaidi kwenda Barcelona dirisha lijalo la majira ya kiangazi na mkataba wake utakuwa unamalizika.
Maguire kupewa mkataba, Carrick akihusika KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick, anadaiwa kupendekeza beki wa timu hiyo na England, Harry Maguire, 32, kupewa mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia.
Real Madrid yaachana na mpango wa Rodri REAL MADRID imeonekana kupunguza kabisa nia yake ya kumsajili kiungo wa Manchester City, Rodri, baada ya kubaini dili hilo linaweza kuwagharimu si chini ya Euro 60 milioni dirisha lijalo la...
Anthony Gordon aangaliwa kuwa mbadala wa Salah LIVERPOOL inaandaa ofa ya Pauni 83 milioni kumsajili winga wa Newcastle United na timu ya taifa ya England, Anthony Gordon, 24, ikiwa mshambuliaji wao wa kimataifa wa Misri Mohamed Salah, 33...
"Kosa lilianzia kichwani", Ali Kamwe aanika sababu za kichapo cha Taifa Stars Wakati mashabiki wa soka nchini Tanzania wakiendelea kutafuta majibu ya namna gani timu ya Taifa "Taifa Stars" imepoteza mchezo mbele ya Liechtenstein, Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ali Kamwe...
Vinicius anawindwa kama swala England MANCHESTER United, Manchester City, Chelsea na Arsenal, zimeripotiwa kuwasiliana na wawakilishi wa mshambuliaji wa Real Madrid, Vinicius Junior, 25, ili kuulizia uwezekano wa kuipata saini yake...