Simba hakuna kuremba JESHI la Kocha Patrick Aussems limepaa jana jioni kwenda nchini Algeria kwa ajili ya kusaka ushindi ambao, unaweza kuipeleka Simba kwenye hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Makonda ampa deni Samatta Kundi hilo linajumuisha wachambuzi na waandishi mahiri wa soka, waigizaji, wasanii, viongozi wa klabu za soka, wamiliki wa mitandao pamoja na wadau wengine
Ni balaa niliwehuka nikapelekwa kwa sangoma SAFARI ya kwenda kumzika Lawrence ilianzia Hospitali ya Makandana Tukuyu kwenda Kyela.
Wasanii kuweni wakweli ili msaidiwe Siku hizi, hadi kina mama wa vijijini wameunda vikundi vya kusaidiana wa-kati wa shida. Hata hivyo, wasanii wetu hawa hususan wa muziki wamekuwa wabinafsi sana na maisha yao.
Tishio la virusi vya corona, Liverpool ubingwa wapewe wasipewe Ligi Kuu England kwa sasa inaisikilizia serikali kama itatangaza hali ya hatari kusiwepo mikusanyiko ya watu kutokana na maradhi hayo ya virusi vya Corona na baada ya hapo ndipo itakapochukua...
Tupac: Kitanzi balaa la usupastaa na kashfa za kimapenzi Huyo ndiye Russell, ambaye kuna wakati Bongo alivumishwa kuwa na uhusiano wa kimalovee na mwanamitindo wa Bongo, anayetusua unyamwezini, Flaviana Matata
Lionel Messi aiongoza Argentina kuizamisha Timu ya Brazil “Aliniuliza nilimtoa wapi huyo kijana, aliamini alikuwa vizuri, vipi utamuanzisha tangu mwanzo katika mechi ijayo dhidi ya Uruguay?” Aliniuliza.
Ronaldo aizamisha Barca kwa bao la hewani, gumzo ‘Out of this world’ lilisomeka gazeti la michezo la Marca na kufafanua kwa kuelezea jinsi Messi na Ronaldo mabao yao mawili waliyofunga na kuonyesha viwango kwa sababu wao ni bora duniani.
Kaseja anaendelea kutupa somo la kujifunza MWEZI wa Agosti mwaka huu umekuwa na matukio mengi hasa katika upande wa soka kwenye timu za taifa na hata klabu, kwa kuweka rekodi mbalimbali na matukio ambayo yameendelea kufanyika ambayo kwa...
TBF, fimbo ya mpira wa kikapu Tanzania bado mnayo, mjue Tazama ramani utaona nchi nzuri/ Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka/ Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri/ Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaaaaaaaaa/ Majira yetu haya, yangekuwaje sasa/...