NINAVYOJUA : Genilson Santos ‘Jaja’ + Andrey Coutinho = Okwi HAKUNA shaka kwamba mashabiki wa Yanga msimu huu itawabidi wasubiri sana kama wanataka kupata mafanikio, itabidi wasubiri zaidi kwani malengo na mipango ya kocha, Marcio Maximo, si kuipa timu...
Usiku mmoja kabla ya mechi ya Mbwana Samatta Nipo Genk Ubelgiji na jana usiku kina Mbwana Samatta na kikosi kizima cha Genk walikuwa uwanjani kukipiga na klabu ya Oostende, pambano la Ligi Kuu ya Ubelgiji. Maisha yapo tofauti sana kati yao...
Yanga isichukulie poa, ilinde heshima kwa Mazembe WAKATI pazia la Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara limefunguliwa, Yanga wana mtihani wa mwisho mbele yao wa kupambana na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kesho.
Yanga ni kufa ama kupona kwa Medeama WIKIENDI hii, wawakilishi pekee wa Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki, Yanga itakuwa na kibarua kigumu katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika wakati itakaposhuka Uwanja wa Taifa, Dar...
Teknolojia inapogeuzwa jukwaa la matusi Simba, Yanga Sakata la msemaji wa Simba, Haji Manara na mtangazaji wa Clouds FM, Shaffii Dauda ni jipya kati ya mizozo mingi ambayo huhusisha waandishi wa habari na watendaji wa klabu hizo na ambayo kwa kiasi...
Kwa hili! Hamonize amemshika Diamond pabaya NI kama vile Diamond ndiye msanii anayeongoza kwa kuwa na maadui wengi kwenye muziki Bongo Fleva. Tunaposema maadui, sio lazima yeye na msanii anayedaiwa adui yake wawe maadui kweli, mara nyingi...
Wema atoa siri ya mpenzi wake wa zamani, Diamond “OOOH nalia miye, nalia mgumba sina mwana, baba Mungu nalia miye, nalia mgumba sina mwana,” ni baadhi ya maneno yaliyoimbwa na Bendi ya African Revulation ‘TamTam’ ukiwa ni utunzi wa Mwanamuziki...
Siri nyuma ya Rich Mavoko ACHANA na wimbo wake mpya wa Happy, ambao unatrend kwa sasa kwenye redio na mitandaoni, ishu inayovuma kwa sasa ni Rich Mavoko kuitema Wasafi Classic Baby (WCB).
MUHAMMAD ALI : Aliteswa na ubaguzi wa rangi duniani AKIWA na miaka 12, Muhammad Ali wakati huo akijulikana kwa jina la Cassius Clay, alishawishika kujifunza ngumi kupitia mkasa wa aina yake.
Mabondia wa Tanzania wanavyopigwa makusudi Ulaya-1 NAKUTANA na kijana wa makamo pale Magomeni Kagera jijini Dar es Salaam. Uso wake unaonekana una bashasha huku akizirudisha nyuma rasta zake zilizotokeza nje ya kofia nyeusi aliyovaa.