Taifa Stars imepata kipimo sahihi Kesho timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itacheza mchezo wa kirafiki wa mashindano maalumu ya Shirikisho la Soka duniani (Fifa), Fifa Series 2024.
Kocha Tabora United ahesabiwa saa NI suala la muda tu lililobakia kwa Tabora United ya mjiani Tabora kutangaza uamuzi mgumu wa kuachana na kocha Goran Kopunovic kutoka Serbia kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu. Habari za...
Courtois majanga tena, kukaa nje miezi miwili Kipa wa Real Madrid Thibaut Courtois atakuwa nje kwa miezi miwili baada ya kupata majeraha akiwa mazoezini leo mchana.
PRIME Dube aishi kifalme Dar, atengewa Sh1 bilioni LUGHA rahisi unayoweza kutumia ni kwamba Prince Dube anaishi kama mfalme ndani ya ardhi ya Jiji la Dar es Salaam. Pengine hakuwahi kufikiria kwenye maisha yake ya soka angekumbana na...
Miaka kumi ya mkasa wa Patrick Muntari na ‘ambulance’ za Azam Complex kumsaidia mgonjwa kumkimbiza hospitali. Huu ndiyo ulikuwa mchezo wa mwisho wa Nsa Job kwani majeraha haya yalimuathiri vibaya. Hii ilikuwa aibu kubwa sana kwa mpira wetu na kuanzia hapo...
Rashford awapiga kibega PSG chap Staa, Marcus Rashford ameripotiwa atatupilia mbali ofa ya kwenda kujiunga na Paris Saint-Germain mwishoni mwa msimu huu ili aendelee kubaki zake Manchester United.
PUMZI YA MOTO: Stewards husaidia mashabiki wanaovamia mchezo Kwenye mchezo wa Simba dhidi ya Mashujaa, Ijumaa ya Machi 15 mwaka huu uwanjani Azam Complex, shabiki mmoja anayedhaniwa kuwa wa Simba alivamia mchezo na kuonekana akifukua vitu kwenye nguzo ya...
PRIME Dube aandaliwa mkataba mnono GUMZO la mshambuliaji wa Azam, Prince Dube, aliyeamua kubwaga manyanga na kutaka kuachana na timu hiyo kabla ya mkataba kumalizika sasa limechukua sura mpya baada ya kupewa ofa. Wakati wengi...
Fei afungukia bao lake kwa Yanga Kiungo wa Azam Feisal Salum, Fei Toto, amesema pamoja na kwamba amefanikiwa kuifunga Yanga, lakini timu hiyo ni bora kwenye Ligi Kuu Bara. Yanga imekubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam...
PRIME Dube aigawa Simba, Yanga PRINCE Dube ameendelea kuzivuruga Simba na Yanga. Mashabiki wa klabu hiyo wamegawanyika kwa sasa baada ya kuibuka kwa taarifa nyota huyo aliyeigomea Azam FC, anatamani kuichezea Yanga, huku...