Balaa la Ulaya... Kuna mtu anapigwa NI leo kama sio kesho. Ni kuhusu vipute vya marudiano vya hatua ya nusu fainali kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya, ambapo usiku wa Jumanne, Inter Milan itajimwaga kwenye uwanja wa nyumbani kukipiga...
Man United, Athletic Bilbao kitawaka Europa League MAMBO ni moto. Kivumbi cha mechi za nusu fainali kwenye michuano ya Ulaya kinahamia kwenye mikikimikiki ya Europa League, ambapo vigogo wanne watapigana vikumbo kutafuta nafasi ya kucheza fainali...
Napoli yajipanga kumng’oa Jack Grealish Etihad JACK Grealish anaripotiwa kuwa na mpango wa kuachana na Ligi Kuu England mwishoni mwa msimu huu ili akakipige Serie A baada ya miamba ya Italia, Napoli kuhitaji saini yake.
Man United yajitosa dili la Jonathan Tah MANCHESTER United imeingia vitani dhidi ya Bayern Munich ili kuipata huduma ya beki wa kati wa Bayer Leverkusen na timu ya taifa ya Ujerumani, Jonathan Tah ambaye mkataba wake wa unamalizika...
Thunder vs Nuggets Mambo manne moto 'game 7' MUDA umefika wa kufa na kupona.Ni Jumapili hii, ambapo kila kitu kipo mezani wakati ambao Denver Nuggets na Oklahoma City Thunder watakuwa wakipigania fursa ya kusonga mbele kwenye NBA.
PRIME Nondo za kuibeba Simba uwanja wa nyumbani MCHEZO wa fainali ya mkondo wa kwanza Kombe la Shirikisho Afrika baina ya RS Berkane dhidi ya Simba ulimalizika nchini Morocco, na sasa ni kuuendea ule wa marudiano utakaochezwa Tanzania...
Crystal Palace mabingwa FA baada ya miaka 120, yazima tumaini la Man City WIKIENDI iliyopita Manchester City ilipoteza tumaini lao la kuondoka na walau kombe moja msimu huu baada ya kupokea kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Crystal Palace katika fainali ya Kombe la FA.
Mbappe na rekodi ya kazi bure LICHA ya Real Madrid kupoteza mabao 4-3 kwa Barcelona katika pambano la El Clasico wikiendi iliyopita, lakini mchezaji wa timu hiyo, Kylian Mbappe ameweka rekodi ya klabu ambayo bila shaka...
Cristiano Ronaldo anukia Brazil MSHAMBULIAJI wa Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, mwenye umri wa miaka 40, amepokea ofa kutoka kwa timu moja ya Brazil, ambayo itamruhusu nyota huyo wa kimataifa wa Ureno kucheza mashindano ya Kombe...
Bato la Ulaya kumekucha EPL! MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu England zimeshakwisha. Vita ya kushuka daraja, imeshakwisha. Lakini, ukiweka kando vita ya kusaka Kiatu cha Dhahabu, iliyobaki ni ile ya kuwania tiketi ya kucheza Ligi...