Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

9020 results for Mwandishi :

  1. Spurs yaweka mkakati kwa Harry Kane

    TOTTENHAM Hotspur inadaiwa kuwa katika mipango mikubwa ya kumsajili straika wa Bayern Munich, Harry Kane dirisha lijalo la majira ya kiangazi mwakani.

    FUNUNU Pict
  2. West Ham yamfungia kazi Endrik, Valencia, Sociedad zaingilia kati

    WEST Ham inataka kumsajili straika wa Real Madrid, Endrick kwa mkopo wa nusu msimu dirisha lijalo la majira ya baridi lakini inakumbana na ushindani kutoka kwa Valencia na Real Sociedad ambazo...

    TETESI Pict
  3. Juventus, Barcelona zinapigana vikumbo kwa Bernardo Silva

    BARCELONA na Juventus zimepanga kumsajili kiungo wa Manchester City, Bernardo Silva,31, ambaye pia anawindwa na timu za Saudi Arabia zikiwamo Al-Ahli, Al-Qadsiah na Al-Nassr.

    TETESI Pict
  4. Barca, Real Madrid mguu sawa kwa Marc Guehi

    BARCELONA na Real Madrid zinafuatilia kwa karibu suala la beki wa kati wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, ambaye ameonyesha nia ya kutosaini mkataba mpya wakati ule wa...

    FUNUNU Pict
  5. Jude Bellingham aizamisha Juventus Bernabéu

    Haikuwa mechi ya kuvutia sana, lakini nyimbo zilizotokea Santiago Bernabéu zilikuwa na ladha ya kipekee. Ilikuwa muda mrefu tangu mashabiki wa Real Madrid wapate nafasi ya kuimba “Hey Jude”, na...

  6. Umewahi kuisikia vita ya masikio?

    INAWEZEKANA umeshuhudia michezo mingi duniani, lakini kuna baadhi ina upekee kutokana na namna inavyochezwa.

    MASIKIO Pict
  7. Nyuma ya pazia mabao ya Cristiano Ronaldo

    SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameandika rekodi mpya ya dunia baada ya kufikisha mabao 140 kwenye soka la kimataifa akiwa anakitumikia kikosi cha Ureno.

    RONALDO Pict
  8. Dumfries azichanganya Man United, Man City

    MANCHESTER United ipo tayari kushindana na Manchester City kwa ajili ya kumsajili beki wa kulia wa Inter Milan, Denzel Dumfries, mwenye umri wa miaka 29, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    FUNUNU Pict
  9. PRIME Fadlu ashtuka apanga jeshi kuivaa Tabora United

    SIMBA jana kilikuwa uwanjani kumalizana na Kilimanjaro Wonders katika mechi ya kiporo ya Kombe la Shirikisho, lakini mapema kocha mkuu wa kikosi hicho, Fadlu Davids ikielezwa ameshtuka mapema na...

    New Content Item (1)
  10. POGBACK: Kibonzo cha Pogba cha Man United chashtua mashabiki

    ETI arudi, asirudi? Swali konki kwa mashabiki wa Manchester United juu ya kiungo wao wa zamani fundi wa boli, Paul Pogba.

Previous

Page 637 of 902

Next