Ndo hivyo! Baada Buffon, Gravina ni zamu ya Gattuso HAKUNA namna. Baada ya kipigo kilichoiondoa Italia kwenye kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026, baadhi ya viongozi wa timu ya taifa wameanza kujichomoa kwenye timu hiyo wakiwamo Rais wa...
Man United mpya; Carrick aibadili gia angani MANCHESTER United ipo kwenye njia nzuri ya kurejea Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao baada ya mabadiliko makubwa waliyoonyesha chini ya kocha wa muda Michael Carrick.
Manchester United yafikiria kumuuza Bruno Fernandes HATMA ya nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes, 31, bado ni kizungumkuti wakati huu dirisha la usajili la majira ya kiangazi likikaribia.
VAN DAMME; Mkali wa mapigano anayeendelea kuvuna MWISHONI mwa wiki iliyopita, jina la Jean-Claude Van Damme lilitikisa tena kwenye vyombo vya habari baada ya taarifa kuibuka staa huyo wa zamani wa filamu za mapigano anatajwa kupewa dili jipya...
Bruno Fernandes, Cristiano Ronaldo ngoma droo KIUNGO wa kimataifa wa Ureno, Bruno Fernandes anaendelea kudhihirisha ni mmoja wa wachezaji muhimu kwenye kikosi cha Manchester United, huku jina lake likiendelea kuandikwa katika historia ya...
Takwimu za pasi zinavyofichua mabadiliko EPL miaka 10 KUMEKUWA na mjadala mkubwa kuhusu namna mchezo wa Ligi Kuu England ulivyo msimu huu, lakini kulinganisha takwimu za pasi kunaonyesha wazi jinsi soka la England limebadilika katika kipindi cha...
Napoli kuwabania vigogo England kwa McTominay NAPOLI inadaiwa kuanza mazungumzo na wawakilishi wa kiungo kimataifa wa Scotland, Scott McTominay, 29.
Mzigo wa AFCON 2025 upo Boxing Day MERRY Christmas. Na kesho, Alhamisi ni Boxing Day, ambapo huko kwenye mikikimikiki ya AFCON 2025, vigogo wanane wa soka watakuwa na kazi ya kufungua maboksi ya zawadi kwa mashabiki wao...
Broos: Hata Salah ameishangaa ile penalti BAFANA Bafana ilipata kipigo cha kuumiza juzi jioni kutoka kwa Misri iliyokuwa na wachezaji 10 katika mechi ya Kundi B ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025, lakini kocha amefichua alichozungumza na...