Bernardo Silva ‘mashine ya kazi’ inayowaacha Guardiola, Haaland kwa simanzi Man City
INGAWA Erling Haaland ndiye aliyefunga bao la ushindi katika ushindi wa mabao 2-1 wa Manchester City dhidi ya Arsenal, Jumapili iliyopita, sasa ameamua kumtaja mchezaji bora wa mechi hiyo akisema...