Tabora, JKT zatakata, Yacouba wamotoo Tabora United ikiwa kwenye Uwanja wa KMC Complex imeendeleza moto wake wa ushindi baada ya kuichapa KMC mabao 2-0. Mbali na ushindi wa KMC, JKT Tanzania imefanikiwa kujiweka kwenye nafasi nzuri...
Amorim apika tiba ya Rashford KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amemwambia staa wa timu hiyo, Marcus Rashford kuwa anatakiwa apambane kurudi kwenye ubora wake, lakini naye atamsaidia.
Slot apindua meza liverpool LIVERPOOL, ENGLAND : ARNE Slot sasa anaweza kuandikisha historia mpya kwa kufuta kumbukumbu mbaya zilizowahi kuikumba Liverpool katika miaka ya hivi karibuni, akijipatia sifa zaidi kutokana na...
Leicester kumtangaza Van Nistelrooy Leicester City inayoshiriki Ligi Kuu ya England huenda ikamtangaza aliyekuwa kocha msaidizi wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo.
Slot awasilisha jina la De Jong kwa mabosi Liverpool KIUNGO wa Barcelona na Uholanzi, Frenkie de Jong, 27, anaweza akajiunga na Liverpool katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Lampard apata ajira baada ya miezi 18 BAADA ya miezi 18 bila ya ajira hatimaye kocha wa zamani wa Chelsea, Everton na Derby County, Frank Lampard ametua baada ya kutangazwa kuwa kocha mpya wa Coventry City ya Championship.
Kinachoiponza Yanga chaanikwa hadharani KABLA ya kuingia kwenye mechi ya Kundi A la Ligi ya Mabingwa Afrika juzi ambayo Yanga ililala 2-0 nyumbani Kwa Mkapa dhidi ya Al Hilal ya Sudan, kocha mpya wa timu hiyo ya Jangwani ambaye hana...
Pmbet promo code | promo code ya kujiunga pmbet Promo code ya pmbet ni code maalumu ambayo ni yalazima ili uweze kufungua account mpya ya kubashiri katika tovuti ya pmbet.
Simba kuendeleza moto kimataifa USHINDI wa mechi tano mfululizo zilizopita huku ikiwa inaongoza msimamo wa Ligi Kuu Bara sambamba na rekodi isiyovutia waliyokuwa nayo wapinzani wao, Bravos do Maquis kwa siku za karibuni, ni...
Ibenge amvuta mbaya wa Yanga Dar Wakati zikisalia saa chache kabla ya Yanga kushuka Uwanja wa Benjamin Mkapa kupambana na Al Hilal ya Sudan, kocha wa Waarabu hao Florent Ibenge amemvuta mjini kocha mmoja aliyewatibulia wenyeji...