Slot apiga mkwara, Liverpool ikiongoza msimamo EPL LIVERPOOL ipo kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Inaongoza pia msimamo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Lakini, kocha wao Arne Slot anapiga mikwara kwa kusema hapo bado hawajajipata...
Mo Salah mambo ni matamu tu SUPASTAA, Mohamed Salah amechaguliwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu England wa Mwezi Novemba, akifikia rekodi tamu kama mchezaji wa Liverpool.
Fernandes: Man City? Wenyewe tuna shida kibao MANCHESTER, ENGLAND: KIUNGO na nahodha wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema timu yao ina matatizo mengi kuliko hata kufikiria kiwango cha sasa cha wapinzani wao Manchester City kwenye...
KenGold, Namungo moto utawaka, maafande wakishikana mashati Dar UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena leo kwa kushuhudiwa viwanja viwili vikiwaka moto, jijini Mbeya kuna pambano la vibonde wa ligi hiyo, wakati jijini Dar es Salaam kuna vita ya maafande...
Man City yatua kwa Florian Wirtz, Bruno Guimaraes VIUNGO wawili, Florian Wirtz wa Bayer Leverkusen na Bruno Guimaraes, 27, anayeichezea Newcastle United wameingia katika rada za Manchester City inayohitaji kuwasajili dirisha la majira ya baridi...
Danki 5 za kibabe NBA 2024-25 KATIKA msimu wa NBA wa 2024-25, teknolojia ya kisasa na matumizi ya sayansi ya data ya NBA yameleta mabadiliko makubwa jinsi inavyopimwa na kufuatilia dank za wachezaji.
Haya mzigo wa Tuchel huo hapo England KOCHA, Thomas Tuchel sasa ameshafahamu mechi zake za kwanza kwenye kibarua chake cha timu ya taifa ya England atakabiliana na timu ipi na kwenye michuano gani.
PRIME Simba kuna jambo, Fadlu achora ramani mpya KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kujiandaa kuikabili CS Sfaxien katika mechi ya tatu ya Kombe la Shirikisho itakayopigwa kesho Jumapili, lakini habari njema kwa Wanamsimbazi ni kitendo cha...
African Sports watoa visingizio Championship KOCHA Mkuu wa African Sports 'Wanakimanu manu', Abdallah Kessy ametoa sababu zinazowakwamisha kupata matokeo mazuri katika Ligi ya Championship, huku akisisitiza bado hajaikatia tamaa timu hiyo...
Jamie Carragher: Salah huyu mbona wetu LEJENDI wa Liverpool, Jamie Carragher ametaja sababu inayomfanya aamini kuwa Mohamed Salah ataongeza mkataba wa kuendelea kusalia Liverpool baada ya msimu huu kumalizika.