Duh! Barcelona yapata pigo, Yamal kukaa nje mwezi BARCELONA imethibitisha winga wao Lamine Yamal atakuwa nje ya uwanja kwa wiki tatu hadi nne baada ya kupata maumivu ya enka kwenye mchezo wa kipigo kutoka kwa Leganes kwenye mikikimikiki ya La...
Man United yamtafuta anayevujisha siri zao MANCHESTER United imeanza uchunguzi wa kumtafuta mchezaji anayevujisha siri na mbinu za timu hiyo hadharani.
Yale ya Pogba yamkuta Mudryk wa Chelsea STAA wa Chelsea, Mykhailo Mudryk amepigwa marufuku kucheza soka na ripoti zinafichua huenda akakabiliana na adhabu ya kufungiwa miaka minne baada ya kufeli kwenye vipimo vya matumizi ya dawa...
Fadlu Davids aihofia KenGold ataja ugumu ulipo Kocha wa Simba, Fadlu Davids amesema kuwa timu yake inaingia kwa tahadhari kubwa katika mechi dhidi ya Kengold kesho katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge licha ya wapinzani wao kushika mkia...
Chelsea: Hatutaki ubingwa Meneja wa Chelsea, Enzo Maresca amesema kuwa timu yake haipo tayari kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu England (EPL) licha ya muendelezo wa matokeo mazuri ambao wamekuwa nayo katika siku za hivi karibuni.
Vanessa: Muziki wa kidunia una ushetani Aliyekuwa msanii wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee, ameweka wazi kutorudia kufanya muziki wa kidunia huku akiuhusisha na masuala ya kishetani.
PUMZI YA MOTO: Kayoko ‘akurupushwa usiku wa manane’ kuchezesha Ligi Kuu TANGU achezeshe mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga, Oktoba 19 mwaka huu, mwamuzi Ramadhan Kayoko ‘alisahaulika’ kwenye viwanja vya Ligi Kuu Bara.
Bruce Melodie adondosha “Niki Minaji” X Blaq Diamond MSANII wa muziki kutoka Rwanda, Bruce Melodie, ameachia singo yake mpya iitwayo “Niki Minaji” akiwa amemshirikisha msanii wa Afrika Kusini, Blaq Diamond.
PRIME Vurugu, uharibifu vinavyoziweka matatani Simba, Sfaxien MATUKIO ya vurugu na uharibifu wa viti kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar yaliyotokea juzi Jumapili katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika iliyowakutanisha Simba na CS Sfaxien ya Tunisia...
Harmonize agonga kolabo ya kibabe na mastaa kibao Ghana MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul 'Harmonize' ameshirikishwa na staa wa muziki kutoka Ghana, KJ Spio katika kibao kiitwacho 'Messi".