Yanga yatuma salamu za pole kwa Simba Uongozi wa Yanga umetuma salamu za pole kwa Simba baada ya ajali iliyotokea na shabiki mmoja wa timu hiyo kufariki dunia. Alifajiri ya leo shabiki mmoja wa Simba amefariki dunia wakati gari...
Deco amtabiria makubwa Gavi, amlinganisha na Puyol, Xavi Mkurugenzi wa michezo wa Barcelona, Deco, anaamini nahodha wa kikosi hicho, Gavi atafikia hadhi ya kuwa gwiji wa klabu hiyo kama Xavi Hernandez na Carles Puyol, endapo atajitolea maisha yake yote...
Vini Jr kajiweka sokoni, klabu za England zatajwa SUPASTAA wa Kibrazili, Vinicius Junior ameziamsha klabu za Ligi Kuu England kwamba yupo tayari kuachana na miamba ya soka ya Hispania, Real Madrid.
Pesa imetumika kulipa makocha wa kufutwa kazi KOCHA, Ange Postecoglou alifutwa kazi Nottingham Forest baada ya muda usiozidi dakika 20 tangu kikosi hicho kilipochapwa 3-0 Chelsea.
Barcelona yafikia patamu ishu ya Frenkie de Jong BARCELONA imepiga hatua kubwa katika mazungumzo na kiungo Frenkie de Jong, 28, ambaye amekubali kuongeza mkataba hadi mwaka 2029, pamoja na kukubali kupunguziwa mshahara.
Manchester United yamweka katika rada zake Harry Kane MANCHESTER United inafanya mpango wa kumsajili straika wa Bayern Munich, Harry Kane, 32, dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Mashabiki Simba waibeba adhabu ya CAF Wakati ikijiandaa kucheza bila mashabiki katika mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United, Jumapili, Septemba, 29, 2025 na faini ya Dola 50,000 (Sh123 milioni), Simba...
Utaamua unarudi tena Ulaya LIGI Kuu za Ulaya zinarejea baada ya kupisha mikikimikiki ya mechi za kimataifa, huku mashabiki wakitarajia kuona kasheshe zito zitakalotokea kwenye Ligi Kuu England, La Liga, Bundesliga, Serie A...
Yanga yapigwa ugenini, Folz aacha maswali kibao DAKIKA tisini za ugenini kwa Yanga leo Oktoba 18, 2025 zimekuwa ngumu baada ya kupokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wao, Silver Strikers ikiwa ni mechi ya mkondo wa kwanza Ligi ya...