Kiungo Harambee Stars, Ouma ajiunga na Slavia Prague ya Czech.
Kiungo wa Harambee Stars, Timothy Ouma, amejiunga na klabu ya Slavia Prague ya Czech kwa mkataba wa miaka minne. Mabingwa hawa mara 21 wa Ligi Kuu ya Czech walitangaza usajili wa Ouma mwenye umri...