Dah! Felix ana jambo zito Milan STAA wa Chelsea anayecheza kwa mkopo AC Milan, Joao Felix ameripotiwa mambo yake kwenye vibaya hadi wachezaji wenzake kumtenga ndani ya uwanja.
Gundogan anabaki, De Bruyne ataamua HABARI ndo hiyo. Arsenal imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo Joshua Kimmich, ikielezwa utakuwa usajili wa kibabe sana kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Arteta, Kimmich wapo mezani HABARI ndo hiyo. Arsenal imeanza mazungumzo ya kumsajili kiungo Joshua Kimmich, ikielezwa utakuwa usajili wa kibabe sana kwenye dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi.
Curry alivyoizima Orlando akitupia pointi 56 WAKATI Stephen Curry anapokuwa kwenye ubora wake kama ilivyokuwa huko Marekani kwenye hekaheka za michezo ya Ligi ya Kikapu (NBA), kocha wake Steve Kerr anajua tu kwamba lazima mwamba atatupia sana.
PRIME WAPEWE, WASIPEWE? Arsenal itakavyoitibulia Liverpool ubingwa LIVERPOOL imetanua mbawa zake kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu England baada ya kuweka pengo la pointi 13 dhidi ya timu inayoshika namba mbili, ambao ni Arsenal ya kocha Mikel Arteta.
Wakifunga hawa, timu haipotezi KWA kawaida, mchezaji kufunga mabao kunasaidia timu yake kushinda mechi.
Kisa Amorim, mastaa Man United wapishana sehemu MASUPASTAA wa Manchester United wameripotiwa kuvurugwa na kocha Ruben Amorim baada ya kuwashushia lawama viwango vyao vibovu uwanjani vimefanya wafanyakazi wengine wa klabu hiyo kupunguzwa kazini.
Mtoko mpya Arsenal moto ARSENAL itakuwa na mwonekano mpya kabisa kwenye kikosi chao cha kwanza msimu ujao endapo kama kocha Mikel Arteta atawapata wachezaji anaowataka dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Vita Shirikisho yaanza upyaa SIMBA na Coastal Union zinafunga hesabu za Ligi Kuu kwa raundi ya 22 kabla ya mambo kuhamia katika Kombe la Shirikisho na hatua ya 32 itaanza kupigwa kesho Jumapili ikihusisha michezo tisa...
Bundesliga, Ligue 1, Serie A kutamu KIVUMBI leo. Ndicho unachoweza kusema kutokana na kile kinachokwenda kutokea kwenye mikikimikiki ya Ligi Kuu za Ulaya, hasa Bundesliga, Ligue 1 na Serie A. Ni moto.