Marcus Rashford mambo magumu Barcelona LICHA ya kutimiza ndoto yake ya kucheza Barcelona, lakini mpango uliopo wa mabosi wa miamba hiyo ya Ligi Kuu Hispania, La Liga, ni kumrudisha mshambuliaji Marcus Rashford England kutokana na...
Man United, Tottenham kazi ipo ZINAJITAFUTA. Ndiyo, miamba miwili ya Ligi Kuu England kati ya timu kubwa sita, ina hatihati ya kukosa michuano ya Ulaya msimu ujao kutokana na hali mbaya zilizonazo msimu huu.
PRIME Utapeli mitandaoni watikisa, Mo alia kudukuliwa Kufuatia matukio ya udukuzi wa akaunti za mitandaoni yanayosababisha utapeli, wananchi wametakiwa kujifunza elimu ya mitandao ili kuepuka kuingia kwenye majanga.
Man City yamponza aguero, aliwa Sh 26M STAA wa soka, Sergio Aguero amelazimika kuangua kicheko cha aibu baada ya kuahidi kwamba atakata korodani zake endapo kama Manchester City itapoteza mbele ya Real Madrid katika mchzo wa kwanza wa...
Ishu ya usajili yamtafuna Mikel Arteta SAA kadhaa baada ya kufungwa kwa dirisha la usajili la Januari, Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta alijitetea vikali kuhusu hali ya timu yake kutosajili mchezaji yeyote wa kuongeza nguvu katika safu...
TB yafifisha matumaini ya mwanasoka John Ndirangu LILIKUWA ni jambo la kuhuzunisha kama ilivyokuwa wazi mwanamume aliyeishi maisha yake yote akicheza mchezo alioupenda sasa anauacha na si kwa sababu alizozichagua mwenyewe, bali alilazimika...
Isak aitamani nafasi ya Salah Liverpool STRAIKA wa Newcastle United na Sweden, Alexander Isak, 25, anadaiwa kutamani zaidi kujiunga na Liverpool badala ya timu nyingine ikiwa ataondoka Newcastle United.
BILLNASS: Namheshimu Nandy, watoto nane freshi WILLIAM Lymo ndiye 'Billnas' kama hujui na kingine ambacho hujui ni maana ya jina hilo.
PRIME Kocha mpya Yanga akwaa kisiki, kanuni hizi zinambana Mabosi wa Yanga walishtushwa na uamuzi wa ghafla wa kocha Sead Ramovic ambaye aliomba kuvunja mkataba wake kisha jana Jumanne, Februari 4, 2025 akawaaga wachezaji na maofisa wengine wa timu...
PRIME Hii kiboko, Singida BS yapitisha fagio zito SINGIDA Black Stars imeamua. Klabu hiyo iliyokuwa ikifahamika kama Ihefu na kumaliza katika nafasi ya saba kwenye Ligi Kuu Bara iliyomalizika hivi karibuni, inaelezwa imekifanya kile...